The former president of Cape Verde, Pedro Pires, has been awarded an African leadership prize of U.S. $5 million for transforming his country "into a model of democracy, stability and increased prosperity."
Pires is the recipient of the 2011 Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership, established by the Sudanese business pioneer, Mo Ibrahim. The award is paid over 10 years, and is accompanied by an additional annual payment of U.S. $200,000 for life.
Salim Ahmed Salim, former secretary-general of the Organization of African Unity and chairman of the prize committee, said Cape Verde had won international recognition for its record on human rights and good governance. It was also the second African country to improve its position and rise above the United Nations category of the world's least developed countries.
Gabonews
Cape Verde President Pedro Pires, left, with Gabon President Ali Bongo. (file photo)
Salim said Pires enhanced his credentials when he stepped down at the end of his second term. "Dismissing outright suggestions that the constitution could be altered to allow him to stand again, he said: 'This is a simple matter of faithfulness to the documents that guide a state of law.' Throughout his long career President Pires has been dedicated to the service of his people, including those in the diaspora, while retaining his humility and personal integrity."
The prize is open to democratically-elected former heads of government who have observed term limits and left office within the last three years.
The prize has been awarded only twice: to Joaquim Chissano of Mozambique in 2007 and Festus Mogae of Botswana in 2008. In 2009 and 2010 the prize committee said it could not find a worthy recipient among Africa's recently-retired leaders.
Data And Research Enterprises[DARE] Tanzania is the fast growing company in the field of social,economic and health Research. DARE Tanzania focus poverty reduction through research and it deals with consultancy,advocacy and training on project/seminars/proposal/journals/data collection/data management/data analysis
Monday, October 10, 2011
Saturday, September 10, 2011
FAINALI ZA MASHINDANO YA MISS TANZANIA NI LEO JUMAPILI TAREHE 11, 2011
KITENDAWILI cha nani ataibuka kuwa Vodacom Miss Tanzania 2011 kitateguliwa leo usiku ambapo warembo 30 kutoka mikoa mbali mbali ya Tanzania wakichuana kuwania taji hilo.
Ni ukweli usiofichika kuwa mashindano ya mwaka huu ambayo ni ya 18 tokea kuanzishwa kwake mwaka 1994 ni ya kihistoria kutokana na sababu mbali mbali. Mbili kubwa ni mashindano ambayo yatakuwa moja ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru na pili ni mshindi wa mwaka huu atazawadiwa zawadi nono tokea kunzishwa kwa mashindano hayo.
Mwaka huu mrembo atapewa zawadi ya Jeep Patriot model ya mwaka huu yenye thamani ya shs. Milioni 72 huku akipewa fedha taslimu sh. Milioni 8. Hii ni zawadi ya kihistoria kwani imevunja rekodi ya mwaka 2003 ya Sylvia Bahame ambaye alizawadiwa gari aina ya Nissan Hardbody yenye thamani ya shs milioni 55 na fedha taslimu shs. 7 million.
Ikumbukwe mwaka jana ambapo mrembo anayemaliza muda wake, Geneieve Mpangala alipewa gari maarufu kwa jina la Mkoko na fedha taslim shs milioni 10 na kufanya jumla ya zawadi zote kufikia milioni 20.
Hii ni hatua kubwa kwani tofauti ya shs milioni 60 si haba na zawadi ya kwanza imewafanya warembo wengi kupagawa kwani hawakuamini macho yao kile walichokuwa wanakiona.
Zawadi nyingine za washindi ni sh. Milioni 6.2 kwa mshindi wa pili, sh. 4 millioni kwa mshindi wa tatu na sh. Milioni 3 kwa mshindi wane. Mshindi wa tano atapewa sh. Milioni 2.4.
Warembo watakaoshika nafasi ya sita mpaka 15 watapewa sh. Milioni 1.2 na waliobaki (16-30) watapewa kifuta jasho cha sh. 700,000.
ìTunatarajia kuwa mashindano magumu sana, hii inatokana na zawadi ya mshindi wa kwanza ambayo warembo wengi wameelekeza nguvu zao huko kwa sababu ya ukubwa wake na vile vile kiu ya kuiwakilisha nchi katika mashindano ya Dunia (Miss world) mjini London,î alisema meneja masoko wa kampuni ya kuuza magari ya CFAO zamani DT Dobie, Alfred Minja.
Minja alisema kuwa wametambua na kuamua kurudisha hadhi ya mashindano hayo ili kuleta mvuto wake wa awali kwani mwaka 2005, Nancy Sumari alizawadiwa nyumba iliyojengwa kule Tabata.
Tofauti na miaka ya nyuma, mashindano ya mwaka huu ni yana ugumu wa aina yake kutokana na ukweli kuwa imekuwa vigumu kujua nani ataibuka mshindi tofauti na mwaka jana, juzi na miaka ya nyuma.
Genevieve Mpangala ambaye atalivua taji lake alionekana wazi wazi kuwa hana mpinzani na hata wakati wa Miriam Gerald na Nasreem Karim. Ukali wa warembo hao ulikuwa wa aina yake na kupewa nafasi hata kabla ya kupanda jukwaani.
Ni vigumu kutabiri nani mshindi, nimefuatilia maonyesho mbali mbali ya televisheni wakiwa kwenye nyumba na mengine, ushindani ni mkubwa sana, lakini mshindi ni mmoja tu,alisema Rodrick Mwambene ambaye kupitia duka la Mama Tike aliwahi kudhamini mashindano mbali mbali ya vituo.
WALIOINGIA TOP 15:
Mwajabu Juma (Temeke, Miss Top Model), Rose Hurbert (Kaskazini, Vipaji), Alexia Williams (Ilala, Miss Personality), Tracy Mabula (Kanda ya Ziwa, Miss Photogenic), Loveness Flavian (Kanda ya Mashariki, Mrembo bora wa michezo).
WANAOWANIA TOP 15:
Weirungu David, Neema Mtitu (Chuo Kikuu Huria), Cynthia Kinasha (Temeke), Zerulia Manoko, Christina Mwenegoha (Kanda ya Kati), Jeniffer Kakolaki, Salha Israel (Ilala), Dalila Ghribu, Maua Kimambo (Kanda ya Kati), Blessing Ngowi, Glory Lory (Elimu ya Juu), Stacey Alfred, Zubeda Seif (Kanda Kaskazini), Stella Mbuge, Husna Maulid, Hamisa Hussein (Kinondoni), Princess Chiaro Masonobo (Udsm), Atu Daniel, Leila Juma, Christine William (Nyanda za Juu Kusini) , Mariaclara Mathayo, Asha Saleh (Mashariki), Irene Karugaba, Glory Samwel (Kanda ya Ziwa).
Warembo wanaoiwakilisha Dar es Salaam:
Weirungu David, Neema Mtitu (Open University), Mwajabu, Cynthia Kinasha, Husna Twalib (Temeke), Alexia Williams, Jeniffer Kakolaki, Salha Israel (Ilala), Blessing Ngowi (Institute of Social work), Glory Lory (IFM), Stella Mbuge, Husna Maulid, Hamisa Hussein (Kinondoni), Princess Chiaro Masonobo (Udsm).
KIINGILIO: SHS. 100,000
BURUDANI
Diamond, kidumu, Juliana, Akili the Brains, Bob Junior maarufu kama Rais w Sharobaro,
MAJAJI WA MWAKA HUU:
Prashant Patel, Crescentius Magori, Victoria Lukindo, Cynthia Masaki, John Njoroge, Benard Mlunya , Javier Diz Rio, Martin Ngadada, Pratma Shah.
WAREMBO WA MIAKA YA NYUMA:
1994 -Aina Maeda,
1995- Emily Adolf
1996- Shose Sinare
1997 - Saida Kessy
1998- Basila Mwanakuzi
1999- Hoyce Temu
2000 - Jacqueline Ntuyabaliwe
2001- Happiness Magese
2002- Angela Damas
2003- Sylvia Bahame
2004- Faraja Kotta
2005 - Nancy Sumari alishinda taji la Miss World Africa
2006- Wema Sepetu
2007- Richa Adhia
2008- Nasreen Karim
2009- Miriam Gerald
2010 - Genevieve Emmanuel
TALAKA SI SURUHISHO LA MATATIZO YA UHUSIANO, SURUHISHO NI KUONGEA NA MWENZA WAKO
Watu bwana, wakikwaruzana ‘Nenda kwenu mbwa wee’…wengine ‘Nipe talaka hunifai!”
“MBWA wewe, najuta sijui kwanini nilikuoa, yaani kati ya wanawake, wewe si lolote, pumbavu kabisa….” Ni kati ya kauli ambazo wanawake wamekuwa wakikumbana nazo kwenye ndoa.
Kama wewe mwanamke uko kwenye ndoa ambayo haina majuto na kero, ni suala la kumshukuru Mungu. Ukweli ni kwamba kuna wanawake wengi wanateswa na wanaume.
Usione wanaume mitaani, usifikiri mwanaume ambaye unakwenda naye gesti na kuachana, ndivyo anavyokuwa kwenye ndoa, wengi ni kero. Si wengi ambao wanawaheshimu wake zao.
Baadhi ya wanaume ni wasomi, ni watu maarufu, lakini kwenye nyumba zao ni takataka. Hawana heshima kwa familia, ndio unaweza kuona kwa mfano baba mtu mzima, anakataa kutoa huduma kwa watoto, eti kisa kagombana na mkewe. Akili iko wapi ndugu yangu kama sio upumbavu?
Kuna wanaume, eti mkewe haruhisiwi kupanda kwenye gari, anapandisha machangudoa…huu ni upumbavu. Dalili kwamba huna akili ni kuendekeza vitu ambavyo haina maana katika maisha. Kuna wanaume wengi hawana akili. Wanachojua wao ni kutembea kwenye nyumba nzuri za starehe na makahaba.
“Mke wangu amekuwa kero, dawa yake naona ni ndogo tu kumchukua nyumba ndogo” ndivyo wengi wanavyojidanganya. Wanafikiri kwamba nyumba ndogo ni mali, lakini nyumba ndogo hawa ni wafanyabiashara, wanachokifanya ni kwamba anakusikiliza eeeh mke wangu hana maana, hanipi raha, eeeh ooh na ujinga mwingine mwingi unamwambia.
Yeye yuko kibiashara zaidi, kwamba anaangalia matatizo uliyonayo kisha anajitahidi kufanya kila linalowezekana kuhakikisha unapata raha, hasa kwa sababu anaamini yuko kibiashara kwa maana kuwa utampa fedha na mambo mengine kama haya.
Nyumba ndogo ni wezi, ni majambazi, na ni wafanyabiashara, baadhi yao huwa wanakuwa bize kujifunza namna ya kuwanasa wanaume. Kuna wengine wanasoma vitabu mbalimbali vya mahaba, ili kumnasa mwanaume asikumbuke kwao.
Kwa wanaume wasio na akili, wanafikiri wanayofanyiwa ni kwa upendo, kumbe hakuna lolote la maana. Bali kinachofanywa na nyumba ndogo ni kusaka njia za kuishi kupitia migongo ya hao wanaume.
Mwanaume mwenye akili timamu ataangalia namna ya kuondoa kasoro zilizoko kwenye nyumba yake. Ndugu zangu tunapokuwa na shamba kama kwa mfano umepanda mahindi na kumeota magugu, kinachofanyika sio kwamba huwa tunang’oa mahindi na kwenda kuyapanda kwenye shamba jingine, bali tunasaka dawa ya kuua magugu ili mahindi yaweze kuota vizuri.
Kuna wanawake pia wana kauli za ujeuri, eeeh kuna wengine kama ulimgusa jana, ukimwambia na leo tena nataka ‘tupigane’ anaanza kulalamika “aaah bwana eeeh nataka kupumzika, aaah jana umetaka na leo unataka kwani mimi ng’ombe, hata ng’ombe huwa wanapumzika’.
Kauli chafu hazitakiwi katika suala zima la ndoa. Kama kweli unaumwa au una jambo linakusumbua, ni suala la msingi kuzungumza taratibu. Acha kuwa mwenye kauli chafu kwa mkeo, acha kuwa na kauli chafu kwa mumeo.
Kuna watu wengeine, wakikwaruzana kidogo ‘Nenda kwenu mbwa wee’…wengine utawasikia wanasema ‘Nipe talaka hunifai!” Ndoa nzuri huwa inajengwa kwa maneno na fikra za kila mtu kuamini kuwa hata kama kunatokea migogoro, cha msingi ni kuangalia chanzo cha mgogoro na kuumaliza. Utaachana na wangapi?
Kuringa kwenye ndoa kwa sababu eti una mwanamke mwingine nje ya ndoa ni upumbavu…kuringa labda una mwanaume mwingine nje ya ndoa ni ujinga.Mtu mwenye akili sahihi na iliyo timamu, baada ya ndoa anachokiangalia ni namna ya kuboresha maisha yake.
Kuna wanaume wanawapiga sana wake zao, wanasema maneno mabaya. Lakini mwanaume kama kichwa cha familia, anapaswa kuwa na akili nzuri, anapaswa kuwa mfano wa kuigwa, kwa kuwa na kauli nzuri, sio ndio jamani?
Sasa kwabahati mbaya kuna watu ni vichwa, lakini matendo yao ni sawa na unyayo sijui maana hata nikisema ni sawa na kiuno bado hawafai. Je wewe mwanaume unaishije na mkeo au watoto kwenye familia yako? Eti kuna wanaume wanaamini nyumba ndogo ni kila kitu katika maisha…eti akigombana na mkewe ndio atakwenda kupata faraja!!!
Ndugu yangu mbona unakuwa huna akili kiasi hiki. Unapotoka nje, kwanza ni kwamba uniaibisha mwenyewe, yule ambaye uko naye kwa asilimia kubwa hata kama anakuchekea, kwanza anajua yuko kibiashara, lakini katika nafsi yake anaamini wewe ni mwanaume usiyefaa, kama uliyeweza kumdharau mkeo na watoto, utashindwa nini kumdharau yeye ambaye hauna naye mikataba yoyote?
Kama ni suala ni migogoro ndio inakumbikiza nyumbani, kwani unafikiri ni mtu gani ambaye unaweza kuishi naye bila kukwaruzana? Wewe umeishi kwenye tumbo la mama yako kwa miezi sijui tisa au chini ya hapo, na bado kuna wakati mnakwaruzana, iwe mtu tu mmekutana mitaani?
Migogoro ni jambo la kawaida katika uhusiano wa kimapenzi au ndoa. Cha msingi ni kufungua milango ya kujadiliana. Tatizo kubwa kuna watu wana kiburi kichafu kabisa, kwamba hawezi kusema nimekosa nisamehe….hata kama kweli amekosa. Ndoa haiwezi kwenda kokote kama watu wake hawako tayari kusameheana au kuomba msamaha
“MBWA wewe, najuta sijui kwanini nilikuoa, yaani kati ya wanawake, wewe si lolote, pumbavu kabisa….” Ni kati ya kauli ambazo wanawake wamekuwa wakikumbana nazo kwenye ndoa.
Kama wewe mwanamke uko kwenye ndoa ambayo haina majuto na kero, ni suala la kumshukuru Mungu. Ukweli ni kwamba kuna wanawake wengi wanateswa na wanaume.
Usione wanaume mitaani, usifikiri mwanaume ambaye unakwenda naye gesti na kuachana, ndivyo anavyokuwa kwenye ndoa, wengi ni kero. Si wengi ambao wanawaheshimu wake zao.
Baadhi ya wanaume ni wasomi, ni watu maarufu, lakini kwenye nyumba zao ni takataka. Hawana heshima kwa familia, ndio unaweza kuona kwa mfano baba mtu mzima, anakataa kutoa huduma kwa watoto, eti kisa kagombana na mkewe. Akili iko wapi ndugu yangu kama sio upumbavu?
Kuna wanaume, eti mkewe haruhisiwi kupanda kwenye gari, anapandisha machangudoa…huu ni upumbavu. Dalili kwamba huna akili ni kuendekeza vitu ambavyo haina maana katika maisha. Kuna wanaume wengi hawana akili. Wanachojua wao ni kutembea kwenye nyumba nzuri za starehe na makahaba.
“Mke wangu amekuwa kero, dawa yake naona ni ndogo tu kumchukua nyumba ndogo” ndivyo wengi wanavyojidanganya. Wanafikiri kwamba nyumba ndogo ni mali, lakini nyumba ndogo hawa ni wafanyabiashara, wanachokifanya ni kwamba anakusikiliza eeeh mke wangu hana maana, hanipi raha, eeeh ooh na ujinga mwingine mwingi unamwambia.
Yeye yuko kibiashara zaidi, kwamba anaangalia matatizo uliyonayo kisha anajitahidi kufanya kila linalowezekana kuhakikisha unapata raha, hasa kwa sababu anaamini yuko kibiashara kwa maana kuwa utampa fedha na mambo mengine kama haya.
Nyumba ndogo ni wezi, ni majambazi, na ni wafanyabiashara, baadhi yao huwa wanakuwa bize kujifunza namna ya kuwanasa wanaume. Kuna wengine wanasoma vitabu mbalimbali vya mahaba, ili kumnasa mwanaume asikumbuke kwao.
Kwa wanaume wasio na akili, wanafikiri wanayofanyiwa ni kwa upendo, kumbe hakuna lolote la maana. Bali kinachofanywa na nyumba ndogo ni kusaka njia za kuishi kupitia migongo ya hao wanaume.
Mwanaume mwenye akili timamu ataangalia namna ya kuondoa kasoro zilizoko kwenye nyumba yake. Ndugu zangu tunapokuwa na shamba kama kwa mfano umepanda mahindi na kumeota magugu, kinachofanyika sio kwamba huwa tunang’oa mahindi na kwenda kuyapanda kwenye shamba jingine, bali tunasaka dawa ya kuua magugu ili mahindi yaweze kuota vizuri.
Kuna wanawake pia wana kauli za ujeuri, eeeh kuna wengine kama ulimgusa jana, ukimwambia na leo tena nataka ‘tupigane’ anaanza kulalamika “aaah bwana eeeh nataka kupumzika, aaah jana umetaka na leo unataka kwani mimi ng’ombe, hata ng’ombe huwa wanapumzika’.
Kauli chafu hazitakiwi katika suala zima la ndoa. Kama kweli unaumwa au una jambo linakusumbua, ni suala la msingi kuzungumza taratibu. Acha kuwa mwenye kauli chafu kwa mkeo, acha kuwa na kauli chafu kwa mumeo.
Kuna watu wengeine, wakikwaruzana kidogo ‘Nenda kwenu mbwa wee’…wengine utawasikia wanasema ‘Nipe talaka hunifai!” Ndoa nzuri huwa inajengwa kwa maneno na fikra za kila mtu kuamini kuwa hata kama kunatokea migogoro, cha msingi ni kuangalia chanzo cha mgogoro na kuumaliza. Utaachana na wangapi?
Kuringa kwenye ndoa kwa sababu eti una mwanamke mwingine nje ya ndoa ni upumbavu…kuringa labda una mwanaume mwingine nje ya ndoa ni ujinga.Mtu mwenye akili sahihi na iliyo timamu, baada ya ndoa anachokiangalia ni namna ya kuboresha maisha yake.
Kuna wanaume wanawapiga sana wake zao, wanasema maneno mabaya. Lakini mwanaume kama kichwa cha familia, anapaswa kuwa na akili nzuri, anapaswa kuwa mfano wa kuigwa, kwa kuwa na kauli nzuri, sio ndio jamani?
Sasa kwabahati mbaya kuna watu ni vichwa, lakini matendo yao ni sawa na unyayo sijui maana hata nikisema ni sawa na kiuno bado hawafai. Je wewe mwanaume unaishije na mkeo au watoto kwenye familia yako? Eti kuna wanaume wanaamini nyumba ndogo ni kila kitu katika maisha…eti akigombana na mkewe ndio atakwenda kupata faraja!!!
Ndugu yangu mbona unakuwa huna akili kiasi hiki. Unapotoka nje, kwanza ni kwamba uniaibisha mwenyewe, yule ambaye uko naye kwa asilimia kubwa hata kama anakuchekea, kwanza anajua yuko kibiashara, lakini katika nafsi yake anaamini wewe ni mwanaume usiyefaa, kama uliyeweza kumdharau mkeo na watoto, utashindwa nini kumdharau yeye ambaye hauna naye mikataba yoyote?
Kama ni suala ni migogoro ndio inakumbikiza nyumbani, kwani unafikiri ni mtu gani ambaye unaweza kuishi naye bila kukwaruzana? Wewe umeishi kwenye tumbo la mama yako kwa miezi sijui tisa au chini ya hapo, na bado kuna wakati mnakwaruzana, iwe mtu tu mmekutana mitaani?
Migogoro ni jambo la kawaida katika uhusiano wa kimapenzi au ndoa. Cha msingi ni kufungua milango ya kujadiliana. Tatizo kubwa kuna watu wana kiburi kichafu kabisa, kwamba hawezi kusema nimekosa nisamehe….hata kama kweli amekosa. Ndoa haiwezi kwenda kokote kama watu wake hawako tayari kusameheana au kuomba msamaha
MELI YAZAMA ZANZIBAR, WATU ZAIDI YA 190 WAFA
WATU 160 wamefariki dunia na wengine 521 kujeruhiwa baada ya meli ya abiria LCT Spice Islanders, iliyokuwa ikisafiri kutoka Unguja kwenda Pemba, kupinduka na kuzama baharini.
Habari zilizopatikana zinaeleza kuwa meli hiyo iliyokuwa imebeba abiria zaidi ya 600, ilizama usiku wa kuamkia jana kwenye Bahari ya Hindi kati ya Nungwi na Pemba, kilomita 20 kutoka Bandari ya Zanzibar.
Kwa mujibu wa habari hizo, meli hiyo iliyotokea Unguja kwenye Bandari ya Malindi, ilipata hitilafu ikiwa njiani, kisha ikapinduka na kuanza kuzama taratibu. Ilikuwa na makoti ya uokoaji 200 tu.
Mwandishi Mkongwe nchini, Salim Salim, aliambia gazeti hili kwamba juhudi za kuoka zilianza kufanyika mapema kwa ushirikiana wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), KMKM, Jeshi la Polisi na wananchi kutoka eneo la Nungwi.
Salim alisema saa tata baada ya ajali hiyo kutokea jeshi la polisi lilifika katika eneo la polisi pamoja na wananchi walitoka sehemu mbalimbali. Polisi walitumia helikopta mbili na wananchi asilimia kubwa akiwa wavuvi walitumia mashua.
Pia boti za uokoaji za Azam na Express Zakhir zilifika katika eneo la tukio mapema na kuifanya kazi kubwa ya uokoaji.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Said Mwema alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo jana na kwamba chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
Alisema mpaka kufikia jana mchana watu waliokolewa katika ajali hiyo wakiwa hai walikuwa 525 na waliofariki 62.
Mwema alisema imeunda kamati maalum ya kufuatilia tukio hilo ambayo pia itahusisha Usalama wa Taifa.
“Hivi sasa Jeshi la Polisi, JWTZ, Usalama wa Taifa, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na KMKM ndio wanashughulikia suala zima la upelelezi ili kujua chanzo cha ajali hiyo,” alisema Mwema
Aliongeza: “ Eneo la Usimamizi wa mawasiliano na uratibu itakuwa chini ya Kamishna wa Polisi Zanzibar, pia kuna kikosi kazi cha uokoaji na kikosi cha kukusanya taarifa na upelelezi wa tukio hilo,”.
Alipoulizwa idadi kamili ya watu waliofariki katika ajali hiyo pamoja na uwezo wa meli hiyo kubeba abiria na mizigo Mwema alisema: “Hivi sasa ndio tunaendelea na uchunguzi ili kubaini idadi kamili ya waliofariki, ila kwa sasa kinachofanyika ni uokoaji”.
Rais Shein
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, alifika kwenye eneo la tukio na kushiriki kikamilifu kutoa huduma ya kwanza kwa walinusurika katika ajali hiyo.
Akizungumza katika kijiji cha Nungwe, Dk Shein aliwataka Wazanzibari kuwa wavumilivu katika kipindi hiki wakitiana moyo kwa yote yaliyotokea.
"Huu ni mtihani wa Mwenyezi Mungu. Wazanzibari tuwe wavumilivu, Serikali itakayogharimia shughuli zote za mazishi," alisema Dk Shein.
Dk Shein alisema maiti waliotambuliwa watachukuliwa na ndugu zao kwa ajili ya mazishi ila wale ambao ndugu hawataonekana watazikwa na Serikali kwa utaratibu maalumu.
Shuhuda
Mwandishi Mkongwe wa habari Zanzibar, Salim Salim, amelieleza gazeti hili kuwa meli hiyo ilizama katikati ya Kisiwa cha Pemba na Unguja eneo ambalo ndilo lenye mkondo mkuu bahari kuliko mikondo yote ya bahari barani Afrika.
Mikondo mingine mikuu ya bahari inayoufuatia mkondo wa Bahari wa Nungwi ni Pemba Channel ulioko nchini Msumbiji na Affond ulioko Somalia
Alisema ajali hiyo ilisababisha maduka yote kisiwani Pemba kufungwa kutokana na wakazi wengi wa pemba kwenda kutambua miili ya marehemu, iliyofanyika katika Viwanja vya Maisara vilivyoko kiwani humo.
"Wananchi walianza kutambua miili ya marehemu saa 8:30 mchana wakiwamo viongozi wote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walioongozwa na Rais Shein na Makamu wake wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad.
"Maduka yote yamefungwa na misikitini kunafanyika sala maalumu. Pia vituo vyote vya radio na televisheni visiwani hapa, vimeacha kupiga muziki na pia kutakuwa na maombolezo maalumu ya ajali," alisema Salim.
Salim alisema katika viwanja hivyo vya Maisara walikusanyika madaktari kutoka maeneo mbalimbali ya Zanzibar ambao kwa pamoja wanatoa huduma ya kwanza katika mahema maalum kwa majeruhi.
"Sanda zinashonwa hapohapo uwanjani na Serikali imesema itagharimia shughuli zote za mazishi," alisema Salim.
Salim alisema maiti zote zilizokuwa zikitolewa, zilikuwa zimepewa namba na mpaka anaondoka uwanjani hapo jana mchana, maiti 160 zilikuwa zimeopolewa.
"Kazi ya uokoaji inaendelea ila mpaka mimi naondoka eneo la tukio, kulikuwa na maiti 160. Niseme tu kwamba, Serikali safari hii imeonyesha kuwajali wananchi wake, kwa kuharakisha kuanza uokoaji," alisema.
Dk Shein ashiriki kutoa
huduma ya kwanza
Katika hatua nyingine, jana Rais Shein alikuwa miongoni mwa madaktari waliokuwa wakitoa huduma ya kwanza kwa majeruhi wa ajali hiyo ya meli.
Dk Shein ambaye siku nzima alikuwa katika eneo la tukio, akishirikiana na madaktari kuwapokea wagonjwa katika mahema maalumu na kuwapa huduma ya kwanza.
Watu wengi walionusurika katika hali hiyo walionekana kupata mshituko mkubwa, ingawa hawakuwa na majeraha makubwa.
Kazi hiyo ya uokoaji ilikuwa ikiongozwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na KMKM.
Wakati Dk Shein akiwa anashiriki kutoa huduma ya kwanza kwa majeruhi, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad alionekana muda wote akiwa sambamba na vikosi vya uokoaji akisimamia kwa karibu zoezi hilo.
"Maalim Seif alionekana akisimamia upatikanaji wa vifaa na vitu vingine muhimu vya uokoaji," kilisema chanzo cha habari kutoka Pemba
Kichanga aokoka kifo
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi minne hadi mitano, aliokolewa katika ajali hiyo.
Televisheni ya Channel Ten, ilieleza kuwa mtoto huyo alikutwa akielea juu ya maji licha ya kutovalishwa kifaa chochote maalumu vya kuogolea. Kwa mujibu wa Kituo hicho cha Televisheni, mtoto huyo anaendelea vizuri.
Sumatra wazungumza
Akizungumza na Mwananchi Jumapili Meneja Mawasiliano kwa Umma wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), David Mziray.
Alisema taarifa walizonazo zinaeleza kuwa meli hiyo iliondoka Unguja kwenda Pemba saa 4:20 usiku jana.
“Mpaka sasa meli ya Mv Jitihada imeelekea eneo la tukio kwa ajili ya kuokoa watu, meli ilikuwa na abiria 500 na wafanyakazi 12,” alisema Mziray.
Aliongeza: “Meli hii imesajiliwa Zanzibar na taarifa za kuzama kwake zilifika saa 9:10 usiku wa kuamkia leo(jana),”.
Kikosi cha wanamaji Dar
Awali gazeti hili lilifika katika ofisi za kikosi cha wanamaji jijini Dar es Salaam na kuelezwa kuwa meli hiyo iliondoka jana (juzi) jioni ikiwa na abiria 229.
Akizungumza na Mwananchi Jumapili kwa njia ya simu akiwa njiani kuelekea ilipozamia meli hiyo Kamanda wa Kikosi hicho, Mboje Kanga, alisema meli hiyo ilizama ikiwa na zaidi ya watu 500.
“Mpaka sasa sijui kinachoendelea ndio niko njiani naelekea eneo la tukio, nipigie baadaye nitakuwa nimetapa kila kitu,” alisema Kanga.
Wafanyakazi Bandarini
Baadhi ya wafanyakazi wa bandarini pamoja na wabeba mizigo walilieleza gazeti hili kuwa huenda meli hiyo ilizama kutokana kubeba mizigo mingi.
Wafanyakazi hao ambao walikuwepo katika bandari hiyo wakati ikiondoka katika bandari ya Zanzibar wanasema kuwa jinsi ambavyo ilipakia abiria na mizigo huenda itakuwa ndiyo sababu ya kuzama kwake.
Mmoja wa wafanyakazi hao ambaye hakutaka kutajwa jina lake alisema wakati meli hiyo ikiondoka Unguja alikuwepo na kwamba ilikuwa imeelemewa upande mmoja.
“Meli iliruhusiwa kuondoka bandarini Unguja kwa nguvu kwa kuwa watu waliokuwa wakitaka kupanda licha ya kuwa kuambiwa imejaa na walikuwa wengi. Meli ilipakiwa idadi kubwa ya nondo, madirisha, magunia ya unga wa ngano na mahindi,” alisema.
Mfanyakazi mwingine aliyejitambulisha kwa jina moja la Shadrack alisema meli nyingi zinazotoka Unguja kwenda Pemba huwa zinajaza mizigo na watu wengi na kusisitiza kuwa, eneo la Nungwi ni baya hasa kama meli ina mzigo mkubwa kwa kuwa eneo hilo lina mkondo mkubwa wa maji.
“Nakwambia wazi meli hii ilikuwa na watu zaidi ya 600 maana wanasema waliookolewa tu ni 500…,” alisema Shadrack.
Hekaheka Bandarini Dar
Mwananchi Jumapili lilifika asubuhi bandarini jijini Dar es Salaam na kuta idadi kubwa ya watu wakitafuta usafiri wa meli kuelekea Zanzibar kwenda kutambua ndugu zao waliokuwa katika meli hiyo.
Ally Hamisi alilieleza gazeti hili kwamba, katika meli hiyo kulikuwa na ndugu zake saba ambao hajui kama wako hai ama wamekufa.
“Walikuwa wametoka katika harusi…, kwa kweli nimechanganyikiwa kabisa, pia alikuwemo jirani yangu ambaye nilikabidhiwa ili nimpeleke Zanzibar na mpaka sasa hajaonekana,” alisema Hamis.
Alisema meli hiyo ilipofika Unguja walipanda ndugu zake wengine watatu.
“Ni jambo la kusikitisha sana, usiku nilipigiwa simu na mmoja wa ndugu zangu akanieleza kuwa tumuombee kwa kuwa meli ilikuwa ikizama, baadaye simu yake haikupatikana tena na sijui kama yupo salama au la,”.
Naye Khamisi Abdallah alisema kwa masikitiko kuwa katika meli hiyo alikuwa na ndugu 10.
“Nimekata tiketi ili niende kushuhudia mwenyewe…, mpaka sasa siamini na sijui nani kapona nani kafariki, inaniuma sana,” alisema Abdallah kwa masikitiko.
Mwantumu Suleiman ambaye ni mkazi wa Zanzibar, alisema alikuja jijini Dar es Salaam na mume wake na mdogo ambao waliondoka na meli hiyo.
“Wao walikwenda ila mimi nilibaki hapa Dar es Salaam nilikuwa naumwa tumbo, niliposikia habari hizi nimechanganyikiwa kweli, bado sijapona, lakini acha niende nikashuhudiwa kilichotokea,” alisema Mwantumu kwa masikitiko.
Hii ni mara ya pili meli kuzama katika bahari ya Malindi katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Mei 29, 2009, meli ya mizigo inayomilikiwa na Kampuni ya Seagul, MV Fatih, ilipinduka na kuzama katika Bandari ya Malindi, Zanzibar na kuua watu watatu na kujeruhi wengine 27.
Meli hiyo ilipinduka na kuzama ghafla ikiwa tayari imeshafunga gati katika Bandari ya Malindi majira ya saa 4.00 usiku na abiria waliokuwemo walikuwa wanataka kushuka.
Akisimulia mkasa wa ajali hiyo kepteni aliyekuwa akiendesha meli hiyo, Ussi Ali Ussi, alisema wakati akiingia bandarini ghafla aliona meli hiyo ikijaa maji na kulala upande wa kushoto.
Habari hii imeandaliwa na Talib Hamad, Fidelis Butahe, Claud Mshana, Elias Msuya na Geofrey Nyang’oro, Igunga
Wednesday, August 17, 2011
JOSE CHAMELEONE ABADILI DINI
Msanii wa mziki kutokea pande za uganda ameamua rasimi kubadili dhehebu lake la dini, msanii huyo ambaye alikuwa muumini wa roman catholic ameingia rasimi dini la kiislamu
Friday, June 10, 2011
CHADEMA WAIKOSOA BAJETI YA TANZANIA 2011-2012
Thursday, 09 June 2011 23:
Neville Meena, Dodoma
KAMBI ya Upinzani Bungeni imedai kwamba kuna upotoshaji mkubwa katika Bajeti ya S 200erikali iliyowasilishwa bungeni juzi na Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, huku ikidai kwamba bajeti hiyo ni ya kulipa posho na madeni.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Kambi hiyo mjini Dodoma na kusainiwa na Waziri Kivuli wa Fedha, Zitto Kabwe inabainisha kuwa upembuzi uliofanywa umebaini kuwapo kwa upotoshaji mkubwa wa kitakwimu na kimaudhui uliofanywa kwalengo la kuwajengea matumaini wananchi.
"Kambi ya Upinzani Bungeni imeshtushwa na kushangazwa na hatua ya Serikali kutenga zaidi ya robo ya bajeti kulipa madeni na kulipana posho (asilimia 27), asilimia 14 kulipa madeni na asilimia 13 kulipa posho mbalimbali," ilisema taarifa hiyo.
Miongoni mwa maeneo ambayo yanadaiwa kuwa na upotoshaji ni kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la umeme, ongezeko la jumla la Bajeti ya Serikali ikilinganishwa na ile ya mwaka 2010/11, posho mbalimbali, faini kwa madereva wazembe na ulipaji wa madeni ya Serikali.
Hakuna mradi mpya wa umeme
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tamko la Serikali kwamba imetenga kiasi cha Sh537 bilioni kwa ajili ya kutatua tatizo la umeme, si kweli kwani kwa jumla Wizara ya Nishati na Madini, imetengewa Sh402.071 bilioni na kwamba hakuna mradi mpya wa umeme hata mmoja utakaoanzishwa.
"Fedha hizo zimegawanywa katika mafungu ya matumizi ya kawaida Sh76,953,934,000 na kwa upande wa bajeti ya maendeleo zimetengwa Sh325,448,137,000. Sh325 bilioni zilizotengwa kwa ajili ya maendeleo ya Wizara ya Nishati na Madini zinatosha kwa mradi mmoja tu wa umeme wa 160 MW, 100 Dar es Salaam na 60 Mwanza,"inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Zitto ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni, alisema katika taarifa hiyo kuwa, kutokana na hali hiyo hakuna mradi mpya wa umeme unaoonekana katika bajeti hiyo na kwamba kauli ya Mkulo ililenga zaidi kuwajengea wananchi matumaini hewa na si hatua za kweli kumaliza matatizo ya umeme nchini.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, hakuna ongezeko lolote halisia la fedha katika bajeti ya mwaka huu, kwani kati ya Sh13.525 trilioni zilizotengwa, Sh1.901 trilioni, sawa na asilimia 14.06 ya bajeti yote ni kwa ajili ya kulipa madeni ya Taifa.
"Kwa mantiki hiyo, mtaona kuwa fedha kwa ajili ya kuendesha Serikali pamoja na kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo zitabaki Sh11.624 trilioni ambazoni ni sawa na fedha za bajeti ya mwaka unaomalizika wa 2010/2011," alisema Zitto katika taarifa yake hiyo na kuongeza: "Kwa kuzingatia kwamba thamani ya shilingi imekuwa ikishuka, bajeti iliyotangazwa ni ya kulipa madeni".
Bajeti ya posho sasa Sh987 bilioni
Kuhusu hatua za kupunguza posho, kiongozi huyo alisema hakuna ukweli wa kauli hiyo kwani Serikali imetenga kiasi cha Sh987 bilioni kwa ajili ya kulipa posho mbalimbali, fedha ambazo ni sawa na asilimia 13 ya bajeti nzima.
Taarifa hiyo ilibainisha kuwa kutokuwapo kwa nia ya dhati ya kupunguza posho, inaonekana katika hatua za kufanya marekebisho katika sheria ya kodi sura ya 332 ili kusamehe kodi ya mapato katika posho wanazolipwa wafanyakazi wa Serikali na wanaofanya kazi katika taasisi zinazopata ruzuku kutoka kwenye Bajeti ya Serikali.
"Hii inaonyesha kuwa kauli ya kufuta au kupunguza posho ilitolewa na Serikali ili kupumbaza wananchi, lakini haina udhati,"alisema.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa bajeti imeongeza mzigo mkubwa kwa wananchi kutokana na hatua yake ya kuongeza kiwango cha faini kwa madereva wazembe kutoka Sh20,000 hadi Sh300,000, na kwamba kiasi cha Sh50,000 kilichotangazwa na Waziri Mkulo juzi kinatofautia na maelezo kwenye vitabu vya bajeti.
Alisema hatua hiyo itawaathiri wananchi hasa vijana walioajiriwa ama kujiajiri katika huduma za usafiri na usafirishaji na kwamba kipengele hicho pia kinalenga kuuhadaa umma.
Serikali juzi ilitangaza hatua kadhaa za kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima katika mwaka wa fedha wa 2011/2012, lakini fedha za matumizi mengineyo, maarufu kama Other Charges (OC), zimeongezwa kwa asilimia 8.62 ikilinganishwa na Bajeti ya Serikali inayofikia ukomo tarehe 30 mwezi huu.
Fedha za OC katika bajeti mwaka ujao wa fedha ni Sh3.089 trilioni ikilinganishwa na kiasi cha Sh2.823 kilichotengwa katika mwaka wa fedha wa 2010/2011, likiwa ni ongezeko la Sh266.599 bilioni.
Fungu la fedha za OC ndilo hutumika kugharimia posho mbalimbali kwa watumishi wa umma na uendeshaji wa semina, warsha na makongamano pamoja na kugharimia safari za viongozi ndani na nje ya nchi.
Kafulila adai bajeti haijazingatia vigezo vya uchumi
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila aliliambia Mwananchi katika viwanja vya Bunge kuwa, hali hiyo inadhihirisha kwamba bajeti iliyowasilishwa na Mkulo ililenga zaidi kutafuta kuungwa mkono kuliko kuzingatia vigezo vya kiuchumi.
"Kama mwaka wa fedha unaoishia mwishoni mwa mwezi huu fedha za OC ni kidogo kuliko zile ambazo zimetengwa mwaka ujao wa fedha, basi ni dhahiri kwamba hatuwezi kusema posho zitapunguzwa, hapa nadhani kuna tatizo,"alisema Kafulila.
Alisema fungu la fedha za OC lazima lipitiwe upya kwani fedha zilizotengwa ni zaidi ya kiasi cha fedha ambazo Serikali imeomba kutoka kwa nchi wahisani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.
"Iwapo fedha za OC ni Sh3 trilioni na fedha za miradi ya maendeleo tunazoomba kutoka kwa wafadhili ni kiasi hicho hicho, utaona kwamba ni jambo la kushangaza, hapa kuna mambo mengi ya kuweka sawa,"alisema Kafulila, huku akibainisha kuwa bajeti hiyo ya Serikali si mbaya sana kwani imekumbuka umuhimu wa miundombinu ya usafirishaji.
Akiwasilisha bungeni juzi Hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/12, Waziri Mkulo alibainisha hatua kadhaa za Serikali kudhibiti matumizi yasiyokuwa ya lazima akiahidi kupunguza posho zisizo na tija, safari za ndani na nje za viongozi na ukubwa wa misafara ya viongozi hao ili fedha husika ziweze kutumika kugharimia shughuli nyingine za maendeleo.
"...........Serikali itasitisha ununuzi wa samani za ofisi, hususan zile zinazoagizwa kutoka nje ya nchi, kupunguza malipo ya posho mbalimbali yasiyokuwa na tija, kupunguza matumizi ya mafuta kwa magari ya Serikali, kupunguza safari za ndani na nje ya nchi, ikiwa ni pamoja na ukubwa wa misafara na kuendelea kupunguza semina na warsha, isipokuwa pale inapobidi na kwa kibali cha Ofisi ya Waziri Mkuu..," alisema Mkulo.
Sh3 trilioni kutoka nchi wahisani
Kadhalika majedwali ya ufupisho wa hesabu za bajeti ya Serikali kwa mwaka 2011/12 yanabainisha kuwa fedha za maendeleo zinazotarajiwa kutoka kwa nchi wahisani ni kiasi cha Sh3.054 trilioni. Kiasi hicho kinazidiwa kwa asilimia 18.9 sawa na Sh5.853 bilioni kikilinganishwa na fedha za OC ambazo ni Sh3.089 trilioni.
Katika bajeti hiyo, fedha zote zilizotengwa na Serikali kwa ajili ya miradi ya maendeleo ni Sh4.925 trilioni, ambapo fedha za ndani ni Sh1.871 trilioni.
Mchanganuo mzima wa bajeti hiyo unaonyesha kuwa fedha za miradi ya maendeleo zilizotengwa ni sawa na asilimia 31 ya bajeti nzima, wakati fedha za matumizi mengineyo (OC) ni sawa na asilimia 32, mishahara asilimia 23, malipo ya madeni asilimia 8, madeni mengine asilimia 3 na riba ya madeni ya ndani na nje asilimia 3.
KAMBI ya Upinzani Bungeni imedai kwamba kuna upotoshaji mkubwa katika Bajeti ya S 200erikali iliyowasilishwa bungeni juzi na Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, huku ikidai kwamba bajeti hiyo ni ya kulipa posho na madeni.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Kambi hiyo mjini Dodoma na kusainiwa na Waziri Kivuli wa Fedha, Zitto Kabwe inabainisha kuwa upembuzi uliofanywa umebaini kuwapo kwa upotoshaji mkubwa wa kitakwimu na kimaudhui uliofanywa kwalengo la kuwajengea matumaini wananchi.
"Kambi ya Upinzani Bungeni imeshtushwa na kushangazwa na hatua ya Serikali kutenga zaidi ya robo ya bajeti kulipa madeni na kulipana posho (asilimia 27), asilimia 14 kulipa madeni na asilimia 13 kulipa posho mbalimbali," ilisema taarifa hiyo.
Miongoni mwa maeneo ambayo yanadaiwa kuwa na upotoshaji ni kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la umeme, ongezeko la jumla la Bajeti ya Serikali ikilinganishwa na ile ya mwaka 2010/11, posho mbalimbali, faini kwa madereva wazembe na ulipaji wa madeni ya Serikali.
Hakuna mradi mpya wa umeme
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tamko la Serikali kwamba imetenga kiasi cha Sh537 bilioni kwa ajili ya kutatua tatizo la umeme, si kweli kwani kwa jumla Wizara ya Nishati na Madini, imetengewa Sh402.071 bilioni na kwamba hakuna mradi mpya wa umeme hata mmoja utakaoanzishwa.
"Fedha hizo zimegawanywa katika mafungu ya matumizi ya kawaida Sh76,953,934,000 na kwa upande wa bajeti ya maendeleo zimetengwa Sh325,448,137,000. Sh325 bilioni zilizotengwa kwa ajili ya maendeleo ya Wizara ya Nishati na Madini zinatosha kwa mradi mmoja tu wa umeme wa 160 MW, 100 Dar es Salaam na 60 Mwanza,"inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Zitto ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni, alisema katika taarifa hiyo kuwa, kutokana na hali hiyo hakuna mradi mpya wa umeme unaoonekana katika bajeti hiyo na kwamba kauli ya Mkulo ililenga zaidi kuwajengea wananchi matumaini hewa na si hatua za kweli kumaliza matatizo ya umeme nchini.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, hakuna ongezeko lolote halisia la fedha katika bajeti ya mwaka huu, kwani kati ya Sh13.525 trilioni zilizotengwa, Sh1.901 trilioni, sawa na asilimia 14.06 ya bajeti yote ni kwa ajili ya kulipa madeni ya Taifa.
"Kwa mantiki hiyo, mtaona kuwa fedha kwa ajili ya kuendesha Serikali pamoja na kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo zitabaki Sh11.624 trilioni ambazoni ni sawa na fedha za bajeti ya mwaka unaomalizika wa 2010/2011," alisema Zitto katika taarifa yake hiyo na kuongeza: "Kwa kuzingatia kwamba thamani ya shilingi imekuwa ikishuka, bajeti iliyotangazwa ni ya kulipa madeni".
Bajeti ya posho sasa Sh987 bilioni
Kuhusu hatua za kupunguza posho, kiongozi huyo alisema hakuna ukweli wa kauli hiyo kwani Serikali imetenga kiasi cha Sh987 bilioni kwa ajili ya kulipa posho mbalimbali, fedha ambazo ni sawa na asilimia 13 ya bajeti nzima.
Taarifa hiyo ilibainisha kuwa kutokuwapo kwa nia ya dhati ya kupunguza posho, inaonekana katika hatua za kufanya marekebisho katika sheria ya kodi sura ya 332 ili kusamehe kodi ya mapato katika posho wanazolipwa wafanyakazi wa Serikali na wanaofanya kazi katika taasisi zinazopata ruzuku kutoka kwenye Bajeti ya Serikali.
"Hii inaonyesha kuwa kauli ya kufuta au kupunguza posho ilitolewa na Serikali ili kupumbaza wananchi, lakini haina udhati,"alisema.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa bajeti imeongeza mzigo mkubwa kwa wananchi kutokana na hatua yake ya kuongeza kiwango cha faini kwa madereva wazembe kutoka Sh20,000 hadi Sh300,000, na kwamba kiasi cha Sh50,000 kilichotangazwa na Waziri Mkulo juzi kinatofautia na maelezo kwenye vitabu vya bajeti.
Alisema hatua hiyo itawaathiri wananchi hasa vijana walioajiriwa ama kujiajiri katika huduma za usafiri na usafirishaji na kwamba kipengele hicho pia kinalenga kuuhadaa umma.
Serikali juzi ilitangaza hatua kadhaa za kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima katika mwaka wa fedha wa 2011/2012, lakini fedha za matumizi mengineyo, maarufu kama Other Charges (OC), zimeongezwa kwa asilimia 8.62 ikilinganishwa na Bajeti ya Serikali inayofikia ukomo tarehe 30 mwezi huu.
Fedha za OC katika bajeti mwaka ujao wa fedha ni Sh3.089 trilioni ikilinganishwa na kiasi cha Sh2.823 kilichotengwa katika mwaka wa fedha wa 2010/2011, likiwa ni ongezeko la Sh266.599 bilioni.
Fungu la fedha za OC ndilo hutumika kugharimia posho mbalimbali kwa watumishi wa umma na uendeshaji wa semina, warsha na makongamano pamoja na kugharimia safari za viongozi ndani na nje ya nchi.
Kafulila adai bajeti haijazingatia vigezo vya uchumi
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila aliliambia Mwananchi katika viwanja vya Bunge kuwa, hali hiyo inadhihirisha kwamba bajeti iliyowasilishwa na Mkulo ililenga zaidi kutafuta kuungwa mkono kuliko kuzingatia vigezo vya kiuchumi.
"Kama mwaka wa fedha unaoishia mwishoni mwa mwezi huu fedha za OC ni kidogo kuliko zile ambazo zimetengwa mwaka ujao wa fedha, basi ni dhahiri kwamba hatuwezi kusema posho zitapunguzwa, hapa nadhani kuna tatizo,"alisema Kafulila.
Alisema fungu la fedha za OC lazima lipitiwe upya kwani fedha zilizotengwa ni zaidi ya kiasi cha fedha ambazo Serikali imeomba kutoka kwa nchi wahisani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.
"Iwapo fedha za OC ni Sh3 trilioni na fedha za miradi ya maendeleo tunazoomba kutoka kwa wafadhili ni kiasi hicho hicho, utaona kwamba ni jambo la kushangaza, hapa kuna mambo mengi ya kuweka sawa,"alisema Kafulila, huku akibainisha kuwa bajeti hiyo ya Serikali si mbaya sana kwani imekumbuka umuhimu wa miundombinu ya usafirishaji.
Akiwasilisha bungeni juzi Hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/12, Waziri Mkulo alibainisha hatua kadhaa za Serikali kudhibiti matumizi yasiyokuwa ya lazima akiahidi kupunguza posho zisizo na tija, safari za ndani na nje za viongozi na ukubwa wa misafara ya viongozi hao ili fedha husika ziweze kutumika kugharimia shughuli nyingine za maendeleo.
"...........Serikali itasitisha ununuzi wa samani za ofisi, hususan zile zinazoagizwa kutoka nje ya nchi, kupunguza malipo ya posho mbalimbali yasiyokuwa na tija, kupunguza matumizi ya mafuta kwa magari ya Serikali, kupunguza safari za ndani na nje ya nchi, ikiwa ni pamoja na ukubwa wa misafara na kuendelea kupunguza semina na warsha, isipokuwa pale inapobidi na kwa kibali cha Ofisi ya Waziri Mkuu..," alisema Mkulo.
Sh3 trilioni kutoka nchi wahisani
Kadhalika majedwali ya ufupisho wa hesabu za bajeti ya Serikali kwa mwaka 2011/12 yanabainisha kuwa fedha za maendeleo zinazotarajiwa kutoka kwa nchi wahisani ni kiasi cha Sh3.054 trilioni. Kiasi hicho kinazidiwa kwa asilimia 18.9 sawa na Sh5.853 bilioni kikilinganishwa na fedha za OC ambazo ni Sh3.089 trilioni.
Katika bajeti hiyo, fedha zote zilizotengwa na Serikali kwa ajili ya miradi ya maendeleo ni Sh4.925 trilioni, ambapo fedha za ndani ni Sh1.871 trilioni.
Mchanganuo mzima wa bajeti hiyo unaonyesha kuwa fedha za miradi ya maendeleo zilizotengwa ni sawa na asilimia 31 ya bajeti nzima, wakati fedha za matumizi mengineyo (OC) ni sawa na asilimia 32, mishahara asilimia 23, malipo ya madeni asilimia 8, madeni mengine asilimia 3 na riba ya madeni ya ndani na nje asilimia 3.
KIZURI CHAPASWA KULIWA NA WOTE WANAOKIHITAJI
The Mandela Rhodes Scholarships BUILDING EXCEPTIONAL LEADERSHIP IN AFRICA | | |
Home
The Mandela Rhodes Scholarships
- About the Scholarships
- The vision
- Eligibility
- Characteristics Sought in a Mandela Rhodes Scholar
- Selection criteria
- The award
- Applications
- Terms & Conditions
- FAQs about the Mandela Rhodes Scholarships
The Mandela Rhodes Scholars
- Overview
- Meet the Mandela Rhodes Scholars
- The Mandela Rhodes experience
- Mandela Rhodes Scholars: where are they now?
- Alumni - the Community of Mandela Rhodes Scholars
The Mandela Rhodes Foundation
- The Mandela Rhodes Foundation
- Milestones of The Mandela Rhodes Foundation
- Organisational structures
- Trustees
- Staff
- Yearbooks
- Financial Results
Donors
Related Links
- The Rhodes Trust
- Nelson Mandela Foundation
- The Nelson Mandela Children's Fund
- Friends of The Mandela Rhodes Foundation (USA)
- Community of Mandela Rhodes Scholars
Contact Us
The Mandela Rhodes Scholarships aim to help in building leadership excellence in Africa.
A Mandela Rhodes Scholarship is more than a bursary, though the costs of Scholars are generously covered during their period of study.
The Mandela Rhodes Foundation offers young Africans who exhibit academic prowess as well as broader leadership potential an educational opportunity unique on the continent. While pursuing their chosen post-graduate degree, each Scholar benefits from access to leadership development programmes, rooted in the principles underpinning the Foundation.
In addition to the opportunity to interact with a diverse group of fellow-Scholars that spans the continent and academic disciplines, they become part of a wide-ranging network of young Africans of excellence who are expected to play leadership roles in their fields and societies in the years following their time ‘in residence’. More...
Since the selection of the first cohort of eight Scholars in 2005, a total of 123 Mandela Rhodes Scholarships has been awarded. More...
The intention to establish The Mandela Rhodes Foundation was announced in February 2002 when The Rhodes Trust, as part of its centenary celebrations, entered into a partnership with Mr Mandela and pledged a founding benefaction over 10 years.
The Mandela Rhodes Foundation is a unique partnership seeking to close a circle of history for the benefit of current and future generations of Africans. It brings together the 20th century legacy of leadership and reconciliation embodied by Nelson Rolihlahla Mandela, and Cecil John Rhodes's 19th century legacy as it relates specifically to education and entrepreneurship
The overarching mission of The Mandela Rhodes Foundation is to help build exceptional leadership capacity in Africa, by providing excellent educational and leadership development opportunities to individual Africans with leadership potential; as well as by creating over time a network of well-rounded leaders of talent, effectiveness and integrity across African society. More...
©2010 Mandela Rhodes Foundation, all rights reserved
I would like to take this opportunity of thanking all of you around the world who are assisting in the great project of building The Mandela Rhodes Foundation.
The central purpose of The Mandela Rhodes Foundation is to build exceptional leadership capacity in Africa.
The bringing together of these two names represents a symbolic moment in the closing of the historic circle; drawing together the legacies of reconciliation and leadership and those of entrepreneurship and education.
Already the Mandela Rhodes Scholarships are changing the lives of young Africans, who will play vital roles in the future of the continent.
The achievements of The Mandela Rhodes Foundation so far have been remarkable, but it is its future potential that is most exciting.
I urge you to help in every way you can, knowing that you have my personal appreciation.
Nelson Rolihlahla Mandela
Johannesburg, South Africa
Johannesburg, South Africa
TUNAHITAJI WABUNGE WALO NA UCHUNGU NA NCHI YAO KAMA ZITO KABWE, HAKIKA ZITO NI MWAKILISHI WA WATU MASKINI
| Zitto ajitoa kupokea posho za Bunge | Send to a friend |
| Thursday, 09 June 2011 23:25 |
| MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ameiandikia barua Ofisi ya Bunge kuiomba isimamishe kumlipa posho zake zinazotokana na vikao vya Bunge kuanzia juzi.Zitto ametoa ombi hilo kwa barua rasmi aliyoiwakilisha kwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah Juni 7 mwaka huu.Katika barua hiyo, ambayo gazeti hili limefanikiwa kuiona, Zitto alisema anaamini kuwa watumishi wa Serikali na wabunge, hawastahili kulipwa posho wanapohudhuria vikao rasmi vya uwajibikaji wao wa kawaida. Zitto alisema kuwa posho hiyo haistahili kulipwa kwake, wabunge wengine wala watumishi wa umma kwa kuwa kuhudhuria vikao ni sehemu ya kazi zao. "Kwa mujibu wa Sheria ya Utawala wa Bunge (National Assembly Act of 2008) na kwa mujibu wa Masharti ya Kazi za Mbunge niliyokabidhiwa, ninastahili kupata posho za vikao, (sitting allowances) kila ninapohudhuria vikao vya Bunge na Kamati zake,"alisema Zitto na kuongeza: "Ni imani yangu kuwa posho ya kikao haistahili kulipwa kwa mbunge na mtumishi mwingine yeyote wa Serikali kwani kuhudhuria kikao ni sehemu ya kazi yangu,". Kupitia barua hiyo, Zitto ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Fedha, alieleza kwamba amekuwa akipendekeza posho za vikao hivyo ifutwe, jambo ambalo pia limo katika mapendekezo ya chama chake (Chadema) katika Bajeti ya 2011/2012. "Nimekuwa nikipendekeza kuwa posho hii ifutwe. Chama changu cha Chadema pia kimependekeza jambo hili katika mapendekezo yake ya Bajeti 2011/2012," alisema Zitto na kuendelea: "Mpaka hapo mfumo wa kulipana posho za vikao utakapofutwa, ninaelekeza kwamba stahili zangu zote za posho zielekezwe katika Taasisi ya Kigoma Development Initiative (KDI).., utaratibu huu uanze kuanzia tarehe 8/6/2011." Katibu wa Bunge agoma kuizungumzia Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah alipoulizwa jana kama amepokea barua hiyo ya Zitto, alisema kuwa, yeye kama mtendaji wa mhimili huo wa Dola, anapokea barua nyingi, hivyo si rahisi kukumbuka kama barua hiyo imefika ofisini kwake. Lakini akasema, hata kama barua hiyo itakuwa imemfikia ofisini, kanuni na taratibu haziruhusu Bunge kutangaza habari za mtu binafsi.Alisema ofisi yake hairuhusiwi kuandika masuala binafsi ya wabunge yanayofikishwa ofisini na kwamba hilo linawezekana ikiwa mhusika (Zitto), ameruhusu lifanyike kwa maandishi. "...Haturuhusiwi kuandika habari za mtu. Nikiwa Katibu wa Bunge, napokea barua nyingi 'personal' (binafsi), lakini kama yeye mwenyewe amewaambieni kuwa kaleta barua hiyo, basi mwambieni pia atuandikie barua kuturuhusu na sisi ili tulitangaze hilo," alisema Dk Kashililah. Bajeti ya posho kulipa walimu laki moja Uamuzi huo wa Zitto ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, umekuja huku taarifa za utafiti wa taasisi ya Policy Forum inayojihusisha na tafiti mbalimbali za sera zikionyesha kuwa, katika mwaka 2008/2009, Serikali katika bajeti yake ilitenga Sh506 bilioni kwa ajili ya malipo ya posho. Kwa mujibu wa utafiti huo, ambao taarifa yake ilitolewa mwaka uliopita, fedha hizo ni sawa na mishahara ya mwaka mzima kwa walimu 109,000 ambao ni robo tatu ya walimu wote nchini. Kwa mujibu wa utafiti huo mwaka 2009/10 kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya posho za watumishi wa umma kilikuwa sawa na asilimia 59 ya malipo ya wafanyakazi wa ngazi ya chini . |
Comments
123456
Thursday, June 9, 2011
WHAT IS SO SPECIAL WITH TODAY'S MARRIAGES?
Photo: Thinkstock
The Pew Research Center recently found that 40 percent of Americans think marriage is becoming obsolete. Another recent Pew study found that Millennials (people age 18 to 29) say they think being a good parent is way more than having a good marriage.
Once considered an imperative of sorts, traditional marriage is getting a second look—and research suggests that it may be coming up short. Instead of considering themselves to be happily married, some people are discovering that they're only "semi-happy," and their quest for fulfillment can lead them to extramarital affairs and divorce.
A semi-happy marriage is one of low conflict, low passion, and low satisfaction. "One minute, you love the stability and contentment. The next minute, you think it’s not the right marriage, and there are flaws in the marriage that are serious, even though there are also great things about the marriage," says historian Pamela Haag, author of "Marriage Confidential: The Post-Romantic Age of Workhorse Wives, Royal Children, Undersexed Spouses, and Rebel Couples Who Are Rewriting the Rules." In other words, "one minute you can't imagine staying, the next you can't imagine leaving," Haag says. "It’s these kinds of marriages that are 'low-conflict' but not all that satisfying that contribute the lion’s share to divorce court each year."
Her own 13-year-long marriage almost fit the bill. "Often, in my own case, I really can't tell if my marriage is woeful or sublime," she writes in her book. "Maybe I'm just so profoundly content that it feels like unhappiness, because nirvana is dull in this way, it lacks frisson." (She adds that she thinks her husband is "an amazing sport, and brave, to let me write about this topic of mixed feelings at all, even though a good number of husbands and wives have mixed feelings.")
Boredom can also cause major marital problems. A national survey of 3,341 people by advice website Good in Bed and Kristen Mark of The Kinsey Institute for Research in Sex, Gender, and Reproduction found that 25 percent of people are are bored in their current monogamous relationship, and another 25 percent admit to being "on the brink" of boredom.
“Boredom is basically like an attack on a relationship’s immunity system," says Ian Kerner, PhD, founder of Good in Bed and author of "Love in the time of Colic: A New Parents' Guide to Getting It On Again." "It’s not a coincidence that a fifth of respondents admitted to being unfaithful to their partner as a result of being bored."
While most of the women Haag interviewed said they felt lonely in their semi-happy marriages, men told her that they felt "trapped" or "penned in." It didn't seem to matter if they married "too young" or waited until they were older; what mattered was what people expected from their marriages. And for many, the traditional blueprint that their parents followed is simply no longer a good fit.
"It’s sometimes said that marriage is on the decline because our expectations are too high," says Haag. "I think it’s that our expectations for marriage may be too low—such that single people feel, perhaps rightly, that there isn’t much that marriage would add to their lives."
"My generation—people in their 30s, and 40s, and early 50s—are perhaps caught betwixt and between the old romantic ideals and the new post-romantic expectations," she adds.
Haag emphasizes the fact that she's a historian and not a marriage therapist, and says that she does not "endorse a particular marital style." In her book, she explores several suggestions for "forging a third way between melancholy persistence and divorce," ranging from slightly outside-the-box (rewriting your vows to more accurately reflect your life as it is now, for instance, or sleeping in separate bedrooms) to the extreme (redefining marriage as a temporary parenting agreement or giving the green-light to discreet extramarital affairs, among other things.)
Even so, people can still end up feeling only semi-happy. "There's a part of your soul that isn't nourished in marriage, and it's too big a part to live without," Haag writes. "You've tried, but you fear that you're in the wrong marriage, however wonderful your spouse may be."
JAMANI HIVI KUBORESHA MASLAHI YA WAFANYA KAZI NI DHAMIRA YA KWELI?
Wednesday, 08 June 2011
Mtumishi wa lililokuwa Shirika la Reli la Afrika Mashariki, Kituo cha Kigoma, Said Luziga (88) akifuatilia kupitia radio hotuba ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2011/12, Dar es Salaam jana. Picha na Said PowaPatricia Kimelemeta SERIKALI imeahidi kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa sekta binafsi na watumishi wa umma ili waweze kuondokana na hali ngumu ya maisha. Hayo yalisemwa na Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo wakati wa akiwasilisha bajeti ya mwaka 2011/12 kwenye kikao cha Bunge kilichofanyika mjini Dodoma jana.
Mkulo alisema kuboreshwa kwa maslahi ya watumishi wa umma kutatokana na uwezo wa mapato yake, jambo ambalo litawasaidia kumudu gharama za maisha. “Serikali imeahidi kuboresha maslahi ya watumishi ikiwa ni pamoja na kuongeza mishahara kwa watumishi hao, lengo ni kuhakikisha kuwa wanamudu gharama zilizopo za maisha,"alisema Mkulo. Alisema maeneo ambayo yatatiliwa mkazo ni pamoja na malipo ya mishahara na likizo kwa wakati, na kwamba watahakikisha watumishi hao wanalipwa mafao yao mara baada ya kustaafu, pamoja na pensheni zao za kila mwezi.
Alisema sambamba na hilo,serikali itatoa mafunzo kwa maofisa wa Hazina ndogo na mahakama zote zinazoshughulikia mirathi, na kuweka mikakati ya pamoja kuwaondolea kero wasimamizi na warithi wa mali za marehemu ambao walikuwa watumishi wa serikali enzi za uhai wao.
Mwaka jana, serikali ilitumia zaidi ya Sh2.332 trilioni kwa ajili ya kugharimia malipo ya mishahara,ajira mpya, upandishwaji vyeo na kulipia madai ya malimbikizo na mapunjo ya mishahara kwa watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa. Katika bajeti hiyo ya mwaka jana, Mkulo alitangaza punguzo la asilimia moja kwa kodi ya mishahara kutoka asilimia 15 hadi 14 ya mishahara hiyo.
Nalo Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi(Tucta), liliwahi kuwasilisha mapendekezo ya mishahara ya watumishi wa umma na sekta binafsi ambapo kiwango cha chini lilitaka kiwe Sh315,000 kwa mwezii, lakini serikali ilishindwa kuongeza kiasi hicho badala yake iliongeza hadi Sh135,000 mwaka jana
Mkulo alisema kuboreshwa kwa maslahi ya watumishi wa umma kutatokana na uwezo wa mapato yake, jambo ambalo litawasaidia kumudu gharama za maisha. “Serikali imeahidi kuboresha maslahi ya watumishi ikiwa ni pamoja na kuongeza mishahara kwa watumishi hao, lengo ni kuhakikisha kuwa wanamudu gharama zilizopo za maisha,"alisema Mkulo. Alisema maeneo ambayo yatatiliwa mkazo ni pamoja na malipo ya mishahara na likizo kwa wakati, na kwamba watahakikisha watumishi hao wanalipwa mafao yao mara baada ya kustaafu, pamoja na pensheni zao za kila mwezi.
Alisema sambamba na hilo,serikali itatoa mafunzo kwa maofisa wa Hazina ndogo na mahakama zote zinazoshughulikia mirathi, na kuweka mikakati ya pamoja kuwaondolea kero wasimamizi na warithi wa mali za marehemu ambao walikuwa watumishi wa serikali enzi za uhai wao.
Mwaka jana, serikali ilitumia zaidi ya Sh2.332 trilioni kwa ajili ya kugharimia malipo ya mishahara,ajira mpya, upandishwaji vyeo na kulipia madai ya malimbikizo na mapunjo ya mishahara kwa watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa. Katika bajeti hiyo ya mwaka jana, Mkulo alitangaza punguzo la asilimia moja kwa kodi ya mishahara kutoka asilimia 15 hadi 14 ya mishahara hiyo.
Nalo Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi(Tucta), liliwahi kuwasilisha mapendekezo ya mishahara ya watumishi wa umma na sekta binafsi ambapo kiwango cha chini lilitaka kiwe Sh315,000 kwa mwezii, lakini serikali ilishindwa kuongeza kiasi hicho badala yake iliongeza hadi Sh135,000 mwaka jana
Tuesday, June 7, 2011
Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi
RAIS Jakaya Kikwete amewasilisha taarifa ya Mpango wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Tanzania kwa umma.
Wakati akiwasilisha taarifa hiyo alisema, Tanzania ni miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa.
Rais Kikwete alisema kwa hali ya uchumi, kwa maana ya viashiria vya uchumi jumla, Tanzania iko mahali pazuri licha ya nchi kukumbwa na athari za msukosuko wa uchumi duniani katika mwaka wa 2008/2009, ukuaji wa uchumi ni mzuri.
“Kwa wastani wa asilimia saba tangu mwaka 2001 hadi 2010, Tanzania inakuwa miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakua kwa kasi.
Katika kipindi hicho, pia mfumuko wa bei umekuwa wastani wa chini wa kiwango cha asilimia 10 licha ya kuyumba mwaka 2009 kutokana na matatizo ya bei za mafuta na chakula duniani kwa ujumla,” alisema Rais Kikwete.
Rais Kikwete aliwasilisha taarifa ya mpango huo wa miaka mitano wa kuanzia 2011/2012 – 2015/2016, wakati akizungumza na Taifa kutoka kwenye Ukumbi wa St Gaspar mjini hapa, akishuhudiwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa, wabunge, mabalozi na wananchi kupitia televisheni.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi; Waziri Mkuu Mizengo Pinda; Spika wa Bunge, Anne Makinda, wakuu wa vyombo vya Dola, wabunge, mabalozi kadhaa, ni miongoni mwa walioshiriki katika hafla hiyo iliyoandaliwa na Tume ya Mipango katika Ofisi ya Rais.
Rais Kikwete alisema makusanyo ya mapato ya ndani yameongezeka sana kwa wastani wa Sh bilioni 84.7 kwa mwezi kwa mwaka 2001/2002 hadi Sh bilioni 430 kwa mwezi katika kipindi cha Julai mwaka 2010 hadi Aprili mwaka huu.
“Makusanyo mazuri ya mapato ya ndani yametuwezesha kuongeza uwezo wa bajeti ya Serikali kutoka Sh 1.76 trilioni mwaka 2001/2002 hadi Sh trilioni 11.6 mwaka 2010/2011.
Mauzo yetu ya nje yamefikia dola za Marekani milioni 5,876.5 mwaka 2010 na akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za Kimarekani milioni 3.948.0 sawa na mahitaji ya kuagiza bidhaa na huduma kwa miezi sita mwaka 2010,” alieleza Rais Kikwete na kushangiliwa na waliohudhuria hafla hiyo.
Rais Kikwete alisema makusudio makuu ya Serikali katika mpango huo ni kuona kwamba, kwanza; vikwazo vya ukuaji wa uchumi vilivyopo vinatanzuliwa; pili; kujenga uwezo wa nchi wa kukuza uchumi wake na kuondoa umasikini haraka; tatu; kujizatiti katika kutumia kwa ufanisi na kimkakati fursa mbalimbali zilizoibuka nchini na katika mahusiano ya kiuchumi kikanda na kimataifa.
Pia alisema kusudio la nne, ajira ziongezeke kwa wingi zaidi ili kupunguza tatizo kubwa la ajira linalowakabili vijana na kuongeza kuwa dhana kubwa iliyobebwa na Mpango wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa kutekeleza Dira ya Maendeleo ya Taifa ni “Kufungulia Fursa Tulizonazo za Kukuza Uchumi wa Taifa.”
Alisema Mpango huo umejengeka juu ya nguzo kuu nne za kimkakati ambazo ni kuendeleza uchumi wa jumla na kuimarisha mafanikio yaliyopatikana hadi sasa na kutumia rasilimali zetu kama fursa ya kukuza uchumi; huku kipaumbele maalumu kitawekwa katika kuleta mapinduzi ya kilimo, ufugaji na uvuvi na uendelezaji wa viwanda kwa kutumia malighafi na rasilimali zetu.
Aidha, Rais Kikwete aliyataja maeneo ya vipaumbele vya mpango kuwa ni kilimo, miundombinu, viwanda, utalii, rasilimaliwatu na kuendeleza matumizi ya Sayansi na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
Alisema Mpango huo una malengo kwa kila kipengele, ikiwamo uchumi wa Taifa unatakiwa kukua kwa asilimia 8 hadi 10 kwa mwaka; mfumuko wa bei udhibitiwe chini ya kiwango cha asilimia 5; thamani ya mauzo ya nje ikue kufikia asilimia 23 ya Pato la Taifa; ukusanyaji wa mapato ya ndani ufikie asilimia 19 ya Pato la Taifa na kipato cha mwananchi kiongezeke hadi kufikia wastani wa dola za Marekani 650.
Kuhusu gharama za utekelezaji wa mpango huo, Rais Kikwete alisema utagharimu jumla ya Sh trilioni 42.5 kwa kipindi cha miaka mitano ikiwa ni wastani wa Sh trilioni 8.5 kwa kila mwaka .
Wakati akiwasilisha taarifa hiyo alisema, Tanzania ni miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa.
Rais Kikwete alisema kwa hali ya uchumi, kwa maana ya viashiria vya uchumi jumla, Tanzania iko mahali pazuri licha ya nchi kukumbwa na athari za msukosuko wa uchumi duniani katika mwaka wa 2008/2009, ukuaji wa uchumi ni mzuri.
“Kwa wastani wa asilimia saba tangu mwaka 2001 hadi 2010, Tanzania inakuwa miongoni mwa nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unakua kwa kasi.
Katika kipindi hicho, pia mfumuko wa bei umekuwa wastani wa chini wa kiwango cha asilimia 10 licha ya kuyumba mwaka 2009 kutokana na matatizo ya bei za mafuta na chakula duniani kwa ujumla,” alisema Rais Kikwete.
Rais Kikwete aliwasilisha taarifa ya mpango huo wa miaka mitano wa kuanzia 2011/2012 – 2015/2016, wakati akizungumza na Taifa kutoka kwenye Ukumbi wa St Gaspar mjini hapa, akishuhudiwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa, wabunge, mabalozi na wananchi kupitia televisheni.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi; Waziri Mkuu Mizengo Pinda; Spika wa Bunge, Anne Makinda, wakuu wa vyombo vya Dola, wabunge, mabalozi kadhaa, ni miongoni mwa walioshiriki katika hafla hiyo iliyoandaliwa na Tume ya Mipango katika Ofisi ya Rais.
Rais Kikwete alisema makusanyo ya mapato ya ndani yameongezeka sana kwa wastani wa Sh bilioni 84.7 kwa mwezi kwa mwaka 2001/2002 hadi Sh bilioni 430 kwa mwezi katika kipindi cha Julai mwaka 2010 hadi Aprili mwaka huu.
“Makusanyo mazuri ya mapato ya ndani yametuwezesha kuongeza uwezo wa bajeti ya Serikali kutoka Sh 1.76 trilioni mwaka 2001/2002 hadi Sh trilioni 11.6 mwaka 2010/2011.
Mauzo yetu ya nje yamefikia dola za Marekani milioni 5,876.5 mwaka 2010 na akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za Kimarekani milioni 3.948.0 sawa na mahitaji ya kuagiza bidhaa na huduma kwa miezi sita mwaka 2010,” alieleza Rais Kikwete na kushangiliwa na waliohudhuria hafla hiyo.
Rais Kikwete alisema makusudio makuu ya Serikali katika mpango huo ni kuona kwamba, kwanza; vikwazo vya ukuaji wa uchumi vilivyopo vinatanzuliwa; pili; kujenga uwezo wa nchi wa kukuza uchumi wake na kuondoa umasikini haraka; tatu; kujizatiti katika kutumia kwa ufanisi na kimkakati fursa mbalimbali zilizoibuka nchini na katika mahusiano ya kiuchumi kikanda na kimataifa.
Pia alisema kusudio la nne, ajira ziongezeke kwa wingi zaidi ili kupunguza tatizo kubwa la ajira linalowakabili vijana na kuongeza kuwa dhana kubwa iliyobebwa na Mpango wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa kutekeleza Dira ya Maendeleo ya Taifa ni “Kufungulia Fursa Tulizonazo za Kukuza Uchumi wa Taifa.”
Alisema Mpango huo umejengeka juu ya nguzo kuu nne za kimkakati ambazo ni kuendeleza uchumi wa jumla na kuimarisha mafanikio yaliyopatikana hadi sasa na kutumia rasilimali zetu kama fursa ya kukuza uchumi; huku kipaumbele maalumu kitawekwa katika kuleta mapinduzi ya kilimo, ufugaji na uvuvi na uendelezaji wa viwanda kwa kutumia malighafi na rasilimali zetu.
Aidha, Rais Kikwete aliyataja maeneo ya vipaumbele vya mpango kuwa ni kilimo, miundombinu, viwanda, utalii, rasilimaliwatu na kuendeleza matumizi ya Sayansi na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
Alisema Mpango huo una malengo kwa kila kipengele, ikiwamo uchumi wa Taifa unatakiwa kukua kwa asilimia 8 hadi 10 kwa mwaka; mfumuko wa bei udhibitiwe chini ya kiwango cha asilimia 5; thamani ya mauzo ya nje ikue kufikia asilimia 23 ya Pato la Taifa; ukusanyaji wa mapato ya ndani ufikie asilimia 19 ya Pato la Taifa na kipato cha mwananchi kiongezeke hadi kufikia wastani wa dola za Marekani 650.
Kuhusu gharama za utekelezaji wa mpango huo, Rais Kikwete alisema utagharimu jumla ya Sh trilioni 42.5 kwa kipindi cha miaka mitano ikiwa ni wastani wa Sh trilioni 8.5 kwa kila mwaka .
BAJETI YA TANZANIA NI LEO: WANANCHI WATAKA IPUNGUZE UKALI WA MAISHA
Tuesday, 07 June 2011 21:09

Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
MACHO na masikio ya mamilioni ya Watanzania na wadau wa nje, leo yanaelekezwa Dodoma ambako Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/12 itasomwa.Wananchi wengi wamekuwa na shauku ya kujua mwelekeo wa bajeti hiyo hasa katika kipindi hiki ambacho wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha iliyotokana na kupanda kwa bei vyakula na bidhaa za mafuta.
Kwa takriban wiki nzima iliyopita, baadhi ya wananchi wamekuwa wakituma ujumbe mfupi wa maandishi kwa simu katika vyombo vya habari, wakiisihi serikali kuhakikisha kuwa bajeti ya mwaka huu inawaondoa katika hali ngumu ya maisha.
Bajeti hiyo itakayosomwa bungeni na Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo itatangazwa kwa wakati mmoja na bajeti za serikali za nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), katika mtazamo wa kuimarisha mshimakano na umoja wa nchi hizo.
Kwa kawaida na mazoea ya muda mrefu, bajeti ya serikali imekuwa ikisomwa siku za Alhamisi ya wiki ya kwanza ya Juni, lakini mwaka huu imebadilika ikielezwa kwamba hiyo ni kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya Uhuru wa Uganda.
Akizungumza bungeni jana asubuhi, Spika wa Bunge, Anne Makinda alisema bajeti hiyo itatanguliwa na hotuba ya hali ya uchumi itakayosomwa pia na Waziri Mkulo.Alisema hotuba hiyo itasomwa asubuhi, wakati ile ya bajeti itasomwa jioni.
Baadhi ya mawaziri akiwamo Mkulo wameifagilia bajeti hiyo huku Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI) likitoa mapendekezo na matumaini yake.
CTI: Tunataka bajeti ya uchumi wa viwanda
Shirikisho hilo limesema kuwa linaisubiri kwa hamu bajeti hiyo likitaka iwe ya kukuza uchumi na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji.Kauli ya CTI huku likilalamikia kupanda kwa gharama za uzalishaji zilizotokana na mgawo wa umeme wa Tanesco.
Mkurugenzi Mtendaji wa CTI, Christine Kilindu alisema jana kwamba serikali inapaswa kutoa bajeti ambayo pia itaondoa kodi zinazoumiza uzalishaji mkubwa.Alisema kodi kubwa zisizo za msingi zinachangia kupanda kwa gharama za uzalishaji ambao mwishowe husababisha kupanda kwa gharama za maisha kwa mwananchi wa kawaida.
"Tunataka bajeti ambayo itaondoa kodi zinazokwamisha uzalishaji mkubwa na ukuaji uchumi, tunataka bajeti itakayopunguza makali ya maisha kwa mwananchi kwa kumwezesha kupata bidhaa kwa urahisi," alisema Kilindu.
Alisema bajeti hiyo inapaswa pia kuweka mazingira mazuri na yanavyovutia kibiashara ili kuifanya Tanzania kuwa kituo muhimu cha uwekezaji.Alisema kwamba anategemea kuona umeme ukiwekewa mazingira ya kukuza uchumi na uwekezaji nchini, akisema bila kufanya hivyo hakuna kitu kitakachofanyika.
"Bila umeme hakuna kitu chochote, serikali inapaswa kuongeza nguvu na msukumo kuona umeme siyo tu unamulika maisha ya watu kwa kutoa mwanga, bali iwe ni nguvu ya kusukuma ukuaji wa uchumi wa nchi."
Mawaziri wapigia debe bajeti
Katika kujiwekea mazingira mazuri na kuzuia kubanwa na wabunge, baadhi ya mawaziri wamepigia debe bajeti za wizara zao huku Mkulo, akiahidi kuwa malimbikizo ya vyombo vya usalama yatalipwa mwezi huu.
Mara kwa mara baadhi ya wabunge wamekuwa wakitishia kukwamisha baadhi ya bajeti za wizara, kutokana na kukosa majibu ya msingi kwa mambo mbalimbali ya msingi.Jana asubuhi baadhi ya mawaziri walipokuwa wakijibu maswali bungeni walisisitiza kuwa mambo mengi waliyokuwa wakiulizwa yamezingatiwa katika bajeti.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Balozi Hamis Kagasheki, akijibu swali kuhusu malipo ya malimbikizo ya posho za polisi ikiwamo za wakati wa uhamisho, alisema wizara yake imeandaa mwongozo wa kisera wa namna ya kulipatia ufumbuzi tatizo hilo.Alisema katika mwongozo huo ambao tayari ulikubaliwa na Wizara ya Fedha na Uchumi, wizara yake imejipangia utaratibu wa kutatua kero hiyo kuanzia kwenye bajeti ya mwaka huu.
Balozi Kagasheki alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Mji Mkongwe (CUF), Mohammed Sanya, ambaye alitaka kujua mkakati huo ukoje kutokana na tatizo hilo kuwa ni la muda mrefu. Baada ya majibu hayo, Waziri Mkulo alisimama na kukuongeza kuwa siyo malimbikizo ya polisi pekee, bali ya vyombo vyote vya usalama na kwamba serikali imejipanga kuhakikisha yanalipwa kabla ya mwezi huu kumalizika.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison Mwakyembe naye alipigia debe bajeti ya wizara yake ambayo tayari ilisifiwa na Kamati ya Bunge ya Miundombinu, kutokana na kugusa kila eneo huku ikitajwa kuandaliwa kwa weledi wa hali ya juu.
Akijibu maswali likiwamo lililohusu ujenzi wa Barabara ya Babati, Dareda hadi Minjingu na kuhusu kero za barabara katika Jimbo la Ludewa linaloongozwa na Profesa Raphael Mwalyosi, Naibu Waziri huyo alisisitiza kuwa wizara yake ni sikivu na mambo mengi yatazingatiwa ndani ya bajeti.
Alisema wizara iko makini na Bajeti ya Ujenzi imezingatia mambo mengi ya msingi huku akitupa kete ya kuomba uungwaji mkono kwa wabunge ili waipitishe.
Imeandaliwa na Ally Mkoreha, Dodoma; Ramadhan Semtawa na Patricia Kimelemeta, Dar es salaam
Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
MACHO na masikio ya mamilioni ya Watanzania na wadau wa nje, leo yanaelekezwa Dodoma ambako Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/12 itasomwa.Wananchi wengi wamekuwa na shauku ya kujua mwelekeo wa bajeti hiyo hasa katika kipindi hiki ambacho wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha iliyotokana na kupanda kwa bei vyakula na bidhaa za mafuta.
Kwa takriban wiki nzima iliyopita, baadhi ya wananchi wamekuwa wakituma ujumbe mfupi wa maandishi kwa simu katika vyombo vya habari, wakiisihi serikali kuhakikisha kuwa bajeti ya mwaka huu inawaondoa katika hali ngumu ya maisha.
Bajeti hiyo itakayosomwa bungeni na Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo itatangazwa kwa wakati mmoja na bajeti za serikali za nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), katika mtazamo wa kuimarisha mshimakano na umoja wa nchi hizo.
Kwa kawaida na mazoea ya muda mrefu, bajeti ya serikali imekuwa ikisomwa siku za Alhamisi ya wiki ya kwanza ya Juni, lakini mwaka huu imebadilika ikielezwa kwamba hiyo ni kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya Uhuru wa Uganda.
Akizungumza bungeni jana asubuhi, Spika wa Bunge, Anne Makinda alisema bajeti hiyo itatanguliwa na hotuba ya hali ya uchumi itakayosomwa pia na Waziri Mkulo.Alisema hotuba hiyo itasomwa asubuhi, wakati ile ya bajeti itasomwa jioni.
Baadhi ya mawaziri akiwamo Mkulo wameifagilia bajeti hiyo huku Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI) likitoa mapendekezo na matumaini yake.
CTI: Tunataka bajeti ya uchumi wa viwanda
Shirikisho hilo limesema kuwa linaisubiri kwa hamu bajeti hiyo likitaka iwe ya kukuza uchumi na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji.Kauli ya CTI huku likilalamikia kupanda kwa gharama za uzalishaji zilizotokana na mgawo wa umeme wa Tanesco.
Mkurugenzi Mtendaji wa CTI, Christine Kilindu alisema jana kwamba serikali inapaswa kutoa bajeti ambayo pia itaondoa kodi zinazoumiza uzalishaji mkubwa.Alisema kodi kubwa zisizo za msingi zinachangia kupanda kwa gharama za uzalishaji ambao mwishowe husababisha kupanda kwa gharama za maisha kwa mwananchi wa kawaida.
"Tunataka bajeti ambayo itaondoa kodi zinazokwamisha uzalishaji mkubwa na ukuaji uchumi, tunataka bajeti itakayopunguza makali ya maisha kwa mwananchi kwa kumwezesha kupata bidhaa kwa urahisi," alisema Kilindu.
Alisema bajeti hiyo inapaswa pia kuweka mazingira mazuri na yanavyovutia kibiashara ili kuifanya Tanzania kuwa kituo muhimu cha uwekezaji.Alisema kwamba anategemea kuona umeme ukiwekewa mazingira ya kukuza uchumi na uwekezaji nchini, akisema bila kufanya hivyo hakuna kitu kitakachofanyika.
"Bila umeme hakuna kitu chochote, serikali inapaswa kuongeza nguvu na msukumo kuona umeme siyo tu unamulika maisha ya watu kwa kutoa mwanga, bali iwe ni nguvu ya kusukuma ukuaji wa uchumi wa nchi."
Mawaziri wapigia debe bajeti
Katika kujiwekea mazingira mazuri na kuzuia kubanwa na wabunge, baadhi ya mawaziri wamepigia debe bajeti za wizara zao huku Mkulo, akiahidi kuwa malimbikizo ya vyombo vya usalama yatalipwa mwezi huu.
Mara kwa mara baadhi ya wabunge wamekuwa wakitishia kukwamisha baadhi ya bajeti za wizara, kutokana na kukosa majibu ya msingi kwa mambo mbalimbali ya msingi.Jana asubuhi baadhi ya mawaziri walipokuwa wakijibu maswali bungeni walisisitiza kuwa mambo mengi waliyokuwa wakiulizwa yamezingatiwa katika bajeti.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Balozi Hamis Kagasheki, akijibu swali kuhusu malipo ya malimbikizo ya posho za polisi ikiwamo za wakati wa uhamisho, alisema wizara yake imeandaa mwongozo wa kisera wa namna ya kulipatia ufumbuzi tatizo hilo.Alisema katika mwongozo huo ambao tayari ulikubaliwa na Wizara ya Fedha na Uchumi, wizara yake imejipangia utaratibu wa kutatua kero hiyo kuanzia kwenye bajeti ya mwaka huu.
Balozi Kagasheki alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Mji Mkongwe (CUF), Mohammed Sanya, ambaye alitaka kujua mkakati huo ukoje kutokana na tatizo hilo kuwa ni la muda mrefu. Baada ya majibu hayo, Waziri Mkulo alisimama na kukuongeza kuwa siyo malimbikizo ya polisi pekee, bali ya vyombo vyote vya usalama na kwamba serikali imejipanga kuhakikisha yanalipwa kabla ya mwezi huu kumalizika.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison Mwakyembe naye alipigia debe bajeti ya wizara yake ambayo tayari ilisifiwa na Kamati ya Bunge ya Miundombinu, kutokana na kugusa kila eneo huku ikitajwa kuandaliwa kwa weledi wa hali ya juu.
Akijibu maswali likiwamo lililohusu ujenzi wa Barabara ya Babati, Dareda hadi Minjingu na kuhusu kero za barabara katika Jimbo la Ludewa linaloongozwa na Profesa Raphael Mwalyosi, Naibu Waziri huyo alisisitiza kuwa wizara yake ni sikivu na mambo mengi yatazingatiwa ndani ya bajeti.
Alisema wizara iko makini na Bajeti ya Ujenzi imezingatia mambo mengi ya msingi huku akitupa kete ya kuomba uungwaji mkono kwa wabunge ili waipitishe.
Imeandaliwa na Ally Mkoreha, Dodoma; Ramadhan Semtawa na Patricia Kimelemeta, Dar es salaam
JE UNAJUA LINAH WA THT AMBAYE SASA AMEWAFUNIKA WAIMBAJI NGULI WA KIKE NCHINI TANZANIA, AMETOKEA WAPI?
Linah Sanga 'Linah'
| Thursday, 12 May 2011 04:41 |
| *Clouds Radio kupitia 'Nyuki live' ndiyo iliyomtoa *Ataka kuwa wa kimataifa kama AY, Alikiba Na Laurent Samatta KAMA ni msikilizaji wa kituo cha radio cha 'Clouds', basi utakumbuka mwaka 2009, waliwahi kutangaza nafasi za bure kwa kijana yeyote mwenye uwezo wa kuimba, apige simu kwa namba walizotaja ili uweze kuimba na wao walikuwa wanarekodi ulichokiimba. Programu hiyo ilipewa jina la 'Nyuki live', ambayo ilikuwa na lengo la kutafuta vijana wenye uwezo wa kuimba, hivyo vijana wengi walipiga simu na waliimba lakini mwisho wa siku walikuja kupatikana vijana watatu ambao walionekana kufanya vizuri. Vijana hao hivi sasa wanafanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya kitu ambacho hata wale wengine ambao hawakupata nafasi ya kutoka wanatamani programu hiyo irudi tena ili waweze kujaribu. "Siku hiyo nilikuwa nasikiliza muziki kupitia kituo cha radio 'Clouds', hapo nilikiwa mkoani Mbeya nikasikia tangazo likisema kuwa kijana yeyote ambae anajiona anaweza kuimba vizuri na akakubalika basi apige namba hiyo ili aweze kutuimbia na akionekana amefanya vizuri atapigiwa simu. "Mimi kweli sikusita kupiga simu lakini kwa mara ya kwanza ilikuwa ngumu lakini nikajaribu kama mara tatu hapo ndipo nilipoonekana nimefanya vizuri, basi pale nikasubili majibu na mwisho wa siku nikapigiwa simu kuwa ni mmoja kati ya washindi watatu wa 'Nyuki live'. "Sikuamini kama nimeshinda maana Tanzania kuna vijana wengi lakini bahati ikaja kwangu, hivyo nilipofika katika ofisi za Clouds kuna vitu pia wao walitaka kuviona kwangu kama sauti hivyo wakanipeleka Nyumba ya Vipaji Tanzania 'THT', kwa ajili ya kufundishwa namna ya kuimba na mtiririko wa sauti. Lakini namshukuru mungu pale sikukaa sana kwa sababu nilikuwa na juhudi katika kuimba na uwezo wangu ukawa mkubwa hivyo nilikaa darasani miezi miwili baada ya hapo nikaingizwa moja kwa moja kwenye bendi ya THT, inayojulikana kama 'Odama Band'. Lakini mwaka huo huo wa 2009, kwa bahati nikachanguliwa katika Fiesta nikiwa kama msanii chipukizi lakini nilichokuwa nakifanya nilikuwa naimba kama msanii wa kusindikiza wale wengine ambao tayari walikuwa na nyimbo zao," anasema Linah. Jina kamali la nyota huyo hatari ni Linah Sanga lakini wapenzi wengi wa muziki wa kizazi kipya wanamfahamu kama 'Linah', kwa sababau ndilo jina analotumia katika kazi zake za sanaa. Nyota huyo ni mmoja kati ya wasanii wachache ambao muziki wao unafanya vizuri hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla, kutokana na ubora wa kazi zake pamoja na sauti njinsi anavyoibana na kuifanya iwe ya kuvutia zaidi. Akifanya mahojiano na maalumu na mwandishi wa makala haya hivi karibuni Linah, anasema kwa upande wake imekuwa tofauti na nyota wengine ambao wamekuwa wakifanya muziki kwa sababu ya kaka anaimba au baba anafanya muziki. Anasema muziki kwake upo kwenye damu na tayari alishakuwa muimbaji wa kwanya katika kanisa ambalo walikuwa wanasali yeye na wazazi wake ambalo ni 'Ufufuo wa Uzima', huku akiwa katika Kwanya ya 'Grolia kwanya'. Anasema baada ya kuitumikia kwanya hiyo kwa muda mrefu mwaka 2006, akapewa nafasi ya kuwa mwalimu wa 'Grolia kwanya' ambapo alikuwa akifundisha namna ya kuimba na mtiririko wa sauti. Anasema viongozi wa Kwanya hiyo walikubali uwezo wake hivyo wakaamua kumtumia katika Band yao inayoitwa 'Grolia Band', ambayo ilikuwa inatoa nyimbo zake kwenye vituo vya radio hapa nchini. Linah anasema kipaji chake kilizidi kung'ara hasa pale alipochukuliwa na marehemu Docta Remmy Ongala na kumweka katika bendi yake iliyojulikana kwa jina la 'Remmy Ongala Band', ambayo ilikuwa inaimba nyimbo za kumfifu mungu kipindi hicho. marehemu huyo wa kibao cha 'Kifo hakina huruma' kabla ya kuingia katika nyimbo hizo alikuwa akiimba nyimbo za kidunia lakini baada hapo aliamua kuokoka na kufanya kazi katika kanisa hilo ambalo nyota huyo alikuwa akisali. "Remmy alikuwa akisali kanisa moja na sisi na baada ya kuniona naimba vizuri katika Kwanya yetu aliamua kunichukua na kunipeleka katika bendi yake, kwa kweri aliniamini kwa sababu sauti yangu ilikuwa ni nzuri ingawa kipindi hicho haikuwa nzuri kama ilivyo sasa," anasema. Anasema baada ya miaka hiyo kupita alikuwa hajui kama anaweza kuja kuimba nyimbo za kidunia kwa sababu tayari alikuwa akiimba nyimbo za dini ambazo hadi anakuja kuchukuliwa na 'Nyuki live' kutoka 'Clouds' tayari maisha yake yalikuwa yamezoea kuimba nyimbo hizo. Anasema tangu mwaka huo 2009 alikuwa tayari amesha achana na nyimbo za dini kwa sababu tayari aliingia katika ukurasa mpya wa kuimba nyimbo za kidunia, ambapo mwaka 2010 ndipo alipoamua kutoa wimbo wake wa kwanza ulikwenda kwa jina 'Atatamani'. 'Wimbo huo ndiyo ulikuwa wa kwanza kutoa tangu nilipochukuliwa na 'Clouds' na kuingia 'THT' lakini niliutoa nikiwa chini ya THT, na ndiyo maana watu wengi ambao hawanijui wanasema nimekulia hapo 'THT'," anasema. Anasema wimbo huo uliweza kufanya vizuri na kumtambulisha katika muziki wa kizazi kipya, na kuanza kufanya shoo mbalimbali katika matamasha, ambapo wimbo wake wa pili 'Bora nikimbie' nao umeweza kufanya vizuri na kuzidi kumtagaza Afrika mashariki akiwa kama msanii chupukizi. "Nashukuru mungu kwa sababu baada ya nyimbo hizo mbili nimeweza kufanya kazi nyingine za kushirikishwa na wasanii wengi kama Mrisho Mpoto wimbo wake 'Adela', Barnaba wimbo 'Wrong number', Sajna wimbo 'Sitaki kuumizwa' na wengine wengi. Anasema baada ya nyimbo hizo mbili kufanya vizuri hivi sasa anatamba na albamu yake ya kwanza yeye nyimbo 10, ambayo imebeba jina la 'Atatamani' ikiwa na nyimbo kama Atatamani, Bora nikimbie, Chozi langu na nyingine nyingi zenye ubora wa kimataifa. Linah anasema kwa upande wake hana fani ya kutunga nyimbo hivyo nyimbo zote alizotoa ametungiwa na rafiki yake ambae pia ni msanii 'Amini' pamoja na 'Barnaba Boy', ambao wamekuwa wakifanya kazi zao pamoja. Kwa upande wa malengo Linah anasema amejiwekea mikakati ya kufanya kazi ambazo zitamtagaza kimataifa, ili aweza kuwa kama Ambwene Yessaya 'AY' au Ally Kiba 'Alikiba', ambao hivi sasa wanafanya muziki wao kimataifa. Anasema hata hivyo katika suala la mafanikio, katika kipindi cha mwaka mmoja alichodumu katika muziki wake tayari amesha fanya mambo kama, kununua viwanja viwili kwa ajili nyumba pamoja na kuangiza gari nje aina ya Toyata VX, ikiwa pamoja na kuishi kwa kujitengemea. Anasema kwa upande wa wazazi wake ambao wapo katika dini hawakuweza kumruhusu kwa mara ya kwanza kwa sababu walitaka aendelee na dini kwa vile waliamini muziki huo unaimbwa na watu ambao wamemtupa mungu kutokana na baadhi ya wasanii njinsi wanavyojiweka mbele ya jamii. "Wazazi wangu ni watu wanaoamini dini hata mimi pia, lakini kwa mara ya kwanza ilikuwa ngumu sana kunikubalia lakini nikawaeleza sitakuwa na tabia kama baadhi ya wasanii wanavyofanya na kweri wakanipa ruhsa," anasema. Anasema wazazi wake hadi sasa wanamuelewa kwa sababu hana tabia ambayo inaweza kuwakera kitu ambacho kila siku anaomba mungu asije akabadilika na kuwa na tabia kama baadhi ya wasanii. Linah anasema hana elimu kubwa zaidi ya kidato cha nne, lakini anaamini atarudi shule ili aweze kumaliza elimu ya juu ambayo inawe kumsaidia hapo baadae ikiwa pomoja na kuchukua masomo ya sanaa katika chuo kikuu chochote Duniani. Linah anatoa ushauri kwa wasanii pamoja chipukizi ambao wanaingia katika fani hiyo kuacha tabia ambayo inawapelekea wazazi kuhisi sanaa ni fani ambayo inavuja maadali hasa mbele za mungu |
WCHUNGAJI VIPI TENA MNABAKA KONDOO WENU?
Mchungaji KKKT jela kwa rushwa ya ngono
Na Eliasa Ally, Iringa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa, imemhukumu kifugo cha miaka mitano Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Michael Ngilangwa, baada ya
kupatikana na hatia ya kuomba rushwa ya ngono kwa mwanafunzi ili amsaidia masomo.
Mchungaji Ngilangwa alikuwa mwalimu wa sekondari ya Pomerini iliyopo wilaya ya Kilolo.
Akitoa hukumu hiyo mjini hapa jana, Hakimu wa Mkazi wa Mahakama Iringa, Bi, Martha Mpaze, alisema mshitakiwa wakati wote wa kesi hakuwa na shahidi, ambapo alijitetea mwenyewe.
Upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi watano. Alisema mshitakiwa katika utetezi wake, alisema kesi hiyo ni ya kubambikizwa kosa hilo kutokana na wivu uliokuwepo kati yake na baadhi ya walimu wa sekondari ya Pomerini kumfanyia.
Alidai walimu hao walifanyia fitina baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Mkuu wa Shule Pomerini, hatua iliyomwongezea maadui ambao walikuwawakimfanyia fitina na kuandaa mazingira ya mtego ili ili akamatwe na mwanafunzi.
Alisema katika utetezi wake, Mchungaji Ngilangwa alidai baada ya kushika wadhifa huo wazazi wengi walikuwa wakimpelekea matatizo ya watoto wao, akiwemo mzazi wa mwanafuzni aliyemshitaki kwa madai ya kumuomba rushwa ya ngono.
Alisema siku ya tukio mshtakiwa aliyokamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) alipigiwa simu na mama wa mwanafunzi huyo kuwa wanatoka Dar es Salaam hivyo aliomba awatafutie vyumba katika nyumba za kulala wageni.
Katika utetezi wake alidai kwamba alikwenda nyumba ya wageni na kuchukua vyumba viwili kimoja cha kulala watu wawili.
Alidai kwa kuwa ulikuwa ni usiku, alichukua chumba namba 4 kwa ajili yake.
Bi. Mpaze alisema mshtakiwa anaonekana kuwa na makosa kwa kuwa katika kitabu cha wageni alijaza kuwa anatoka Njombe kwenda Iringa wakati siyo kweli.
Alisema ukweli ni kuwa mshtakiwa alikuwa anatoka Pomerini kwenda Iringa mjini.
Alisema kuwa ushihidi mwingine ambao unamtia hatiani Mchungaji Ngilangwa ni ule wa TAKUKURU kumkuta na vidonge vya kuzuia mimba, ambavyo alimpatia mwanafunzi wake ameze kwa kuwa wangefanya ngono bila kutumia kondomu.
Hakimu huyo alisema ushahidi mwingine ni ule wa ujumbe ambao TAKUKURU ilinasa sauti walipokuwa wakiongea na mwanafunzi wake.
Hakimu huyo alikuwa akimwambia mwanafunzi huyo aende chumba namba nne ndiko wangelala.
"Mshtakiwa anatiwa hatiani kwa ushahidi mwingine ambapo TAKUKURU ilimkuta akiwa na mwanafunzi wake huyo saa 5:00 usiku wakati sheria ya nyumba hiyo ya kulala wageni walipokutwa inakataza watu wasio wanandoa kulala chumba kimoja.
Hakimu huyo alisema kama TAKUKURU wasingewahi mwanafunzi huyo angebakwa na azma yake ya kuomba rushwa ya ngono ingetimia.
Mshtakiwa huyo alipotakiwa kujitetea aliomba mahakama imfikirie kwa kuwa ana watoto wanne wanaomtegemea, wawili wanasoma sekondari na wengine shule ya msingi.
Mchungaji Ngilangwa aliongeza kuwa mzazi wake ni mzee wa miaka 82, hivyo hana mtu wa kumtunza.
Akitoa hukumu Hakimu Bi. Mpaze, alisema mahakama imezingatia kuwa mkosaji wa mara ya kwanza lakini akahukumiwa adhabu wa miaka mitano jela.
Katika kesi ya pili ya kuomba rushwa ya ngono mshtakiwa atatakiwa kulipa faini ya sh. 500,000 au endapo atashindwa atatumikia kifungo cha mwaka mmoja jela.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa, imemhukumu kifugo cha miaka mitano Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Michael Ngilangwa, baada ya
kupatikana na hatia ya kuomba rushwa ya ngono kwa mwanafunzi ili amsaidia masomo.
Mchungaji Ngilangwa alikuwa mwalimu wa sekondari ya Pomerini iliyopo wilaya ya Kilolo.
Akitoa hukumu hiyo mjini hapa jana, Hakimu wa Mkazi wa Mahakama Iringa, Bi, Martha Mpaze, alisema mshitakiwa wakati wote wa kesi hakuwa na shahidi, ambapo alijitetea mwenyewe.
Upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi watano. Alisema mshitakiwa katika utetezi wake, alisema kesi hiyo ni ya kubambikizwa kosa hilo kutokana na wivu uliokuwepo kati yake na baadhi ya walimu wa sekondari ya Pomerini kumfanyia.
Alidai walimu hao walifanyia fitina baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Mkuu wa Shule Pomerini, hatua iliyomwongezea maadui ambao walikuwawakimfanyia fitina na kuandaa mazingira ya mtego ili ili akamatwe na mwanafunzi.
Alisema katika utetezi wake, Mchungaji Ngilangwa alidai baada ya kushika wadhifa huo wazazi wengi walikuwa wakimpelekea matatizo ya watoto wao, akiwemo mzazi wa mwanafuzni aliyemshitaki kwa madai ya kumuomba rushwa ya ngono.
Alisema siku ya tukio mshtakiwa aliyokamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) alipigiwa simu na mama wa mwanafunzi huyo kuwa wanatoka Dar es Salaam hivyo aliomba awatafutie vyumba katika nyumba za kulala wageni.
Katika utetezi wake alidai kwamba alikwenda nyumba ya wageni na kuchukua vyumba viwili kimoja cha kulala watu wawili.
Alidai kwa kuwa ulikuwa ni usiku, alichukua chumba namba 4 kwa ajili yake.
Bi. Mpaze alisema mshtakiwa anaonekana kuwa na makosa kwa kuwa katika kitabu cha wageni alijaza kuwa anatoka Njombe kwenda Iringa wakati siyo kweli.
Alisema ukweli ni kuwa mshtakiwa alikuwa anatoka Pomerini kwenda Iringa mjini.
Alisema kuwa ushihidi mwingine ambao unamtia hatiani Mchungaji Ngilangwa ni ule wa TAKUKURU kumkuta na vidonge vya kuzuia mimba, ambavyo alimpatia mwanafunzi wake ameze kwa kuwa wangefanya ngono bila kutumia kondomu.
Hakimu huyo alisema ushahidi mwingine ni ule wa ujumbe ambao TAKUKURU ilinasa sauti walipokuwa wakiongea na mwanafunzi wake.
Hakimu huyo alikuwa akimwambia mwanafunzi huyo aende chumba namba nne ndiko wangelala.
"Mshtakiwa anatiwa hatiani kwa ushahidi mwingine ambapo TAKUKURU ilimkuta akiwa na mwanafunzi wake huyo saa 5:00 usiku wakati sheria ya nyumba hiyo ya kulala wageni walipokutwa inakataza watu wasio wanandoa kulala chumba kimoja.
Hakimu huyo alisema kama TAKUKURU wasingewahi mwanafunzi huyo angebakwa na azma yake ya kuomba rushwa ya ngono ingetimia.
Mshtakiwa huyo alipotakiwa kujitetea aliomba mahakama imfikirie kwa kuwa ana watoto wanne wanaomtegemea, wawili wanasoma sekondari na wengine shule ya msingi.
Mchungaji Ngilangwa aliongeza kuwa mzazi wake ni mzee wa miaka 82, hivyo hana mtu wa kumtunza.
Akitoa hukumu Hakimu Bi. Mpaze, alisema mahakama imezingatia kuwa mkosaji wa mara ya kwanza lakini akahukumiwa adhabu wa miaka mitano jela.
Katika kesi ya pili ya kuomba rushwa ya ngono mshtakiwa atatakiwa kulipa faini ya sh. 500,000 au endapo atashindwa atatumikia kifungo cha mwaka mmoja jela.
2 Maoni:
- Anonymous said...
- Mahakimu mara nyingi hawachunguzi sana kiini cha kosa (Natural causes) huwa hazipo kwenye makosa. Kwa mfano, mfadhaiko wa akili huchukuliwa kama something done deliberately. Hata mtu kubaka, huwa kuna mfadhaiko wake ambao hata wao mahakimu huwa nao na huenda kwa ajili ya kuwa Mheshimiwa yanafichwa lakini wanayo makosa makubwa (deep) na grave kwani wengine hulala na housemaids, ambayo ni kama kubaka, lakini kwa vile ni mheshimiwa, hai-surface. Rushwa ya pesa na ngono ni kitu kiko kwa hawa mnao waita waheshimiwa. Vile vile yabidi Mahakimu wasomee psychology kwa kina kikubwa. Kwa kesi hii husika, this was a trap, and nothing but a delibrate trap ambayo huyu mwalimu kwa kuishi kwake kijijini, hakujua kuwa anategewa. Kuna kitu kikubwa ndani ya hii kesi. Huyu mwalimu inaonekana anao maadaui wamemzingira, msichana alitumwa, wazazi walioomba kutafutiwa vyumba walikuwa na lengo baya na pana toka kwa walio watuma na si hao tu kuna pia wengine ambao wako involved. Lakini mlipaji ni Mungu. Adhabu yao itafuata. Acha mtu wa watu akatumikie kifungo lakini walio sababisha, upanga ni juu yao milele.Na huyu Hakimu hana uelewa mpana, akasome tena kwa kina.
- June 7, 2011 1:02 AM
- Anonymous said...
- Pambaf! Unasumbuliwa na siasa kali, nani alimtuma aende gesti usiku? nani alimwambia adanganye anakotoka na anakoenda kama alikuwa hana nia mbaya? Mwache akachunge kondoo midume jela! Mzinzi tu huyo hana cha uchungaji! Hivi kweli huyo unaweza kumpa binto yako amlee kiroho? Wee, utaambulia mjukuu!
- June 7, 2011 8:07 AM
Subscribe to:
Posts (Atom)
we mzee naona bado akili yako ijakomaa hata kama umezeeka basi umezeeka vibaya kama wazee wenzio wa CCM kama huna cha kusema bora kukaa kimya m-s.n.g.e
Ciao.
Ras Vin. Medical Instute Heidelberg.