Wednesday, February 1, 2012

SERIKARI YA TANZANI IWEKEZA KWA SOKA LA WANAWAKE, ILI KUEPUKA AIBU KWA SOKA LA WANAUME

Twiga Stars yaichakaza Namibia
Timu ya Soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, imewapa raha Watanzania, baada ya kuibanjua kibabe, Timu ya Wanawake ya Namibia.

Golikipa wa Namibia, alikabiliana na adhabu kali baada ya kutunguliwa mara tano katika ushindi wa jumla wa mabao 5-2 ambao Twiga imeupata leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kwa matokeo hayo, Twiga inasogea hatua ya pili ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wanawake ikiwa na ushindi wa jumla ya mabao 7-2.
Katika mchezo wa kwanza uliofanyika Windhoek, Namibia, Twiga iliichakaza timu hiyo mabao 2-0.
Mchezo wa leo, Twiga ilianza kwa kusuasua lakini baadaye ilicharuka na kuipeleka puta Namibia, hivyo kuilazimisha mabao matatu ya haraka dakika za lala salama.
Kwa matokeo hayo, Twiga sasa itapambana kwenye mzunguko unaofuata na mshindi wa mechi ya Misri dhidi ya Ethio

SODOMA, SODOMA, SODOMA HIYOOOOOO INAKARIBIA

Mume wangu ananidandia ukuta, nimezoea, napenda, kuna athari kiafya?’
Mungu ni mkubwa sana. Tunakutana tena leo katika kona yetu. Karibu msomaji lakini nina kitu tofauti. Nimeamua nimsaidie dada yetu ambaye ana tatizo la kuzoea mchezo wa kwenda kinyume. Kudandia ukuta.

Ni msomaji wangu, hivyo naomba nisitaje jina lake. SMS yake inasomeka: “Nimeolewa lakini sijazaa. Mume wangu ananipenda na mimi kumridhisha nimekuwa nikimpa kila anachotaka.
“Moja ya vitu ambavyo aliniomba ni kuruka ukuta. Mwanzoni sikumuelewa lakini baadaye nilimkubalia. Tulipoanza nilisikia maumivu lakini sasa nimezoea, ninapenda. Wakati mwingine tukiwa faragha, sitaki amalizie kwa kawaida, akipita na ukutani angalau ndiyo natosheka.
“Kusema kweli nimezoea na sipendi kuacha, je, kuna athari kiafya baadaye?”
JIBU
Kutokana na unyeti wa swali la dada yangu, naomba jibu langu liwe refu ili mwisho aweze kuelewa. Hii ni mada nzima ambayo naamini itampa jibu linalotakiwa;
Binadamu ni watundu! Walipoona njia ya kawaida imezoeleka wakaamua kujaribu na nyingine ambayo hairuhusiwi. Lengo lao ni kupata utamu zaidi. Sodoma na Gomora iliangamizwa lakini haijasaidia, mapenzi ya kinyume na maumbile yameshika kasi ulimwengu wa sasa.
Utafiti uliofanywa na wanafunzi wa Chuo cha Marekani mwaka juzi, ulibaini kuwa mtu mmoja kati ya wanne anajihusisha na vitendo vya kudandia ukuta na tathimini ya jumla inaonesha kati ya 30% na 40% ya wakazi wote wa nchi hiyo wanashiriki ngono ya kinyume na maumbile.
Hiyo ni Marekani! Tanzania hali si shwari. Hakuna takwimu iliyotolewa na watafiti lakini muamko wa watu kuchangamkia mchezo wa kudandia ukuta ni mkubwa. Kinachowafanya wengi wageuke waumini wa ‘ibada’ hiyo haramu ni simulizi za utamu unaopatikana.
Kama Mwandishi wa Habari na Mshauri wa Saikolojia katika Masuala ya Kijinsia, najua ni kiasi gani hali ni mbaya. Ukiachana na msomaji huyo, pia nina malalamiko ya wanawake ambao wanadai kugeuzwa watumwa wa ngono ya mlango wa nyumba na waume zao au wapenzi wao.
Upo msemo kuwa wanaume wengi wanaathirika mno kisaikolojia kwa maneno ya vijiweni kuhusu mapenzi ya mlango wa nyuma. Kwamba stori za watu wakisifia uhondo ambao wanadai kuupata hujenga kitu tofauti kwa wale ambao hawajajaribu.
Watu hao ambao walikuwa hawajawahi kujaribu kabla, wakitoka kwenye vijiwe vyao, hubeba maneno hayo kwa umakini mkubwa, huku wakisumbuliwa na hisia za kutaka kujaribu. Matokeo yake, usiku ukiingia hutaka kulazimisha kwa wake zao.
Moja ya kesi ambazo nimewahi kukabiliana nazo ni kutoka kwa mwanamke mtu mzima ambaye ni mke mdogo wa mganga mmoja wa tiba za asili mwenye jina kubwa nchini (simtaji jina tafadhali). Mwanamke huyo nilikutana naye ofisini kwetu.
Mwanamke huyo alisema kuwa wakati anaanza mapenzi na mganga huyo ilikuwa kabla ya ndoa lakini baadaye mume alimbadilikia na kumtaka amruhusu awe anampitia kwa mlango wa nyuma. Eti, akamuahidi kwamba akimruhusu hilo, atampangia nyumba halafu atafunga naye ndoa.
Kwa kunasa maneno kutoka kwenye kinywa chake, mwanamke huyo baadaye alikubali baada ya kushawishiwa sana na kupewa ahadi nyingi. Alikuwa Mkristo, akabadili dini akawa Muislam, akapangiwa nyumba na akaolewa. Mapenzi yakawa matomoto.
Mambo yaliendelea mpaka akaathirika. Akawa hawezi hata kukaza misuli kuidhibiti haja! Wakati anakuja kunisimulia hayo, alikuwa yupo kwenye kipindi kigumu katika ndoa, yeye na mume wake walikuwa hawaelewani kabisa.
Huyo ni mmoja, mwingine ni mfanyakazi mmoja wa kampuni inayojihusisha na usambazaji wa vipodozi. Huyu ni mdada tu, alipokuja kuzungumza nami, kwa haraka nilimpa hongera za ndani ya moyo wangu kwa mafanikio niliyodhani anayo.
Alikuja na gari lake la kifahari, nikaamini ana mafanikio ya kimaisha na anafurahia mzunguko wake, kumbe sivyo! Alifunua kinywa chake kunisimulia alivyonavyo nilichoka! Dada huyo naye ni mmoja wa watumwa wa ngono ya kupitia mlango wa nyuma.
Alinieleza kuwa yeye kazi yake haiwezi kumfanya aishi maisha ya kifahari, akae kwenye nyumba nzuri na kumiliki gari la bei mbaya, ila katika mizunguko yake ya kimaisha, alipata kigogo mmoja ambaye alimua kumgharamia vitu hivyo.
Walianza kama wapenzi na akawa anamhudumia vizuri. Hakuwa na shida ya matumizi ya kawaida, kigogo huyo anayefanya kazi kwenye moja ya makampuni ya simu za mkononi alikuwa anakata. Baada ya miezi michache alimbadilikia.
Kigogo huyo akaanza kuomba njia haramu na kuahidi kumbadilishia maisha. Kwa kuanzia alimpangia nyumba ya kifahari mikocheni halafu akamtaka atekeleze ombi lake ili ampe gari. “Alianza kuniomba kama utani,” alisema dada huyo kisha akaongeza:
“Siku moja alikuja pale aliponipangia akiwa na gari mpya ambalo ndilo ninalotumia, akaendelea kunibembeleza halafu akaweka ufunguo wa gari mezani, kwamba nikikubali matakwa yake, litakuwa langu. Nilijifikiria sana lakini baadaye nilifumba macho nikakubali.
“Siku hiyo niliumia mpaka nikashindwa kukaa vizuri, nililia akanibembeleza, wiki nzima sikutoka ndani. Nilipoona anataka tena nikamkatalia lakini akasema ataninyang’anya gari, ikabidi nikubali. Gari amenipa lakini kadi anayo, kila nikikataa ananitishia kuninyang’anya, naendelea kuwa mtumwa mpaka najihisi kulegea.”
Yupo mwingine ambaye ni mhitimu wa Shahada ya Sheria, huyu aliingia kwenye matatizo makubwa na mfadhili wake, aliyekuwa anafanikisha ada yake ya chuo baada ya kukataa matakwa ya kigogo huyo ya kushiriki mapenzi ya mlango wa nyuma.
“Aliniambia eti njia ya kawaida wamepita wengi, kwa hiyo akataka nimruhusu afungue njia yake mwenyewe, yaani kinyume na maumbile, akaniahidi kuninunulia gari lakini nilipokataa, akagoma kuniunganisha na wafadhili ambao wangenilipa ada ya chuo,” alisema dada huyo.
Kauli hizo zinatoa picha kwamba wanaume wengi wanawageuza wanawake watumwa wa mchezo huo wa kudandia ukuta kwa jeuri ya pesa. Eti, wananogeshwa na stori kwamba ndiyo mlango mdogo na unaobana kuliko ule wa kawaida. Hawazingatii athari ambazo mwanamke anazipata.